alma gemela
JF-Expert Member
- Feb 22, 2013
- 842
- 271
Kama huna mwenyeji inakuaje sasa na pengine mtu unaenda kutafuta maisha
issue unaenda kufanya nini
lazima wakuoji migration
Mara ya kwanza naenda cm ilizima chaji so sikuwa na address kichwani ilibidi nipige chabo kwa wahindi nilibadilisha no Tu
ikabuma ikabidi Ni charge cm nipate address na hapo Ni mpaka WA south Africa na Botswana before kwenda make sure Una reason ya kusema kutafuta maisha iwe rohoni mwako
good luck