kiatu kipya
JF-Expert Member
- Dec 4, 2016
- 3,269
- 1,976
Aisee watachoma na vingineMsimu kama uhuu kisarawe mapori yanachomwa Sana na wawindaji wa nguruwe pori......
Aisee watachoma na vingineMsimu kama uhuu kisarawe mapori yanachomwa Sana na wawindaji wa nguruwe pori......
Utashitakiwa na chama cha watetezi wa haki za wanyama.Pole sana bro hao nyani, ngedere, kima dawa yao Fanya kila namna umkamate mmoja, kisha mnyoe kipala umpake kichwa rangi nyekundu au nyeupe kisha mvalishe kiroba na mbugi/kengele kisha muachie kila akifuata wenzie watankimbia hadi watatokomea..
Hiyo ni win win...Utashitakiwa na chama cha watetezi wa haki za wanyama.
Kibiti sehemu gani kaka??Mii Niko kibiti nakomaa kivyangu kaka..
Kibiti sehemu gani kaka??
Hatar sana mkuu,kwenda kuwaroga nyani!Kisarawe hawa wadudu walinifanya nichukie kilimo cha mihogo..... Mchana nyani wanavunja mashina YA mihogo usiku nguruwe wanachimba mihogo... Yaaani we Acha tu nyani kumi ndani y lisaa wanaweza kuvunja mihogo kwenye shmba la heka Tano likawa kama uwanja wa mpira..... Kuna jiran yangu nyani walivuba maembe jamaa akawa anasema anaenda kuwaloga
Inafanyaje kaziLakini hii njia ninayopendekeza inatumika kama shamba sio kubwa sana. Una nunua dizeli kiasi km lita 5 au zaidi halafu chukua matambara au vitambaa chakavu viloweke kwenye dizeli halafu uweke kuzunguka shamba ukiacha nafasi kati ya hivyo vitambaa. Ukiweza weka pia kwenye njia zao. Utaona matokeo
Harufu a dizeli hawaipendi kabisaInafanyaje kazi
Mimi nilijaribu hii njia nikafaulu kuzuia nguruwe ILA nikafail kwa Nyanimimi nilidhibiti hawa wadudu kwa kutumia
fensing wire though it is costful. kwa kuzungusha kamba mbili za seng'enge ile yenye vuchuma vilivyongoka ngiri hakatizi na hata nyani inamuwia ngumu
Mimi nani nimenyoshwa hukohuko na sasa nafikiria kilimo cha Miti (kibiashara) mwenzangu wewe plan B Ni IPI?Mm pia wameninyoosha huku mkuranga..
Miti utasubiri miaka 20 uvuneMimi nani nimenyoshwa hukohuko na sasa nafikiria kilimo cha Miti (kibiashara) mwenzangu wewe plan B Ni IPI?
Hapana hata mitano had I kumi navuna ILA bado nafanya tafakari (tathmini) juu ya faida na hasara ya huo mpango. Kama kuna MTU mwenye mtizamo tofauti nitashukuru kukosolewaMiti utasubiri miaka 20 uvune
Miti ya mbao miaka 5? Sijawahi ona. Mimi ni mkulima wa miti ya mbao inagawa ni moshi kwetu si PwaniHapana hata mitano had I kumi navuna ILA bado nafanya tafakari (tathmini) juu ya faida na hasara ya huo mpango. Kama kuna MTU mwenye mtizamo tofauti nitashukuru kukosolewa
Nashukuru kwa mtizamo wako.Nafikiri kuchanganya Miti ya mbao na ya matunda mfano parachichi ILI niwe nafaidi kidogo kidogo kabla ya kuvuna mbao. Nahitaji kukosolewaMiti ya mbao miaka 5? Sijawahi ona. Mimi ni mkulima wa miti ya mbao inagawa ni moshi kwetu si Pwani