EeeehHuyo mdudu ukim-rost na kisha upate sembe la muhogo ushushie na konyago poli walahi Tunamshukuru Mungu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
EeeehHuyo mdudu ukim-rost na kisha upate sembe la muhogo ushushie na konyago poli walahi Tunamshukuru Mungu
Hakuna kitu kama hicho. Rafiki yangu Aliweka hata Ajatoka shambani ngedere wakaanza kula mahindiTafuta mafuta ya simba upake kwenye kitambaa then kiweke shambani. Wakija wakisikia harufu ya mafuta ya simba watajua kuna simba hawatakuja tena...
Simba utampata wapi umkamue!?Tafuta mafuta ya simba upake kwenye kitambaa then kiweke shambani. Wakija wakisikia harufu ya mafuta ya simba watajua kuna simba hawatakuja tena...
Ha ha ha anawarogaje sasa umenichekesha mkuuKisarawe hawa wadudu walinifanya nichukie kilimo cha mihogo..... Mchana nyani wanavunja mashina YA mihogo usiku nguruwe wanachimba mihogo... Yaaani we Acha tu nyani kumi ndani y lisaa wanaweza kuvunja mihogo kwenye shmba la heka Tano likawa kama uwanja wa mpira..... Kuna jiran yangu nyani walivuba maembe jamaa akawa anasema anaenda kuwaloga
asee mbona umemuweka uyo chalii Angu hapo jombaa
Aisee kuna post moja nimeifumania. Jamaa amesema aliwadhiti hao wadudu kwa kuweka taa kadhaa (katika kila pande) shambani. Kwakuwa wale jamaa hawafanyi shughuli zao mchana/kwenye mwanga, kwahiyo ukiweka taa hawatafanya yao.Wadau,
Kama mada husika hapo nina shamba kubwa la mihogo changamoto kubwa niliyonayo ni nguruwe usiku wanafanya uharibufu.
Naomba mawazo na maarifa ya kuwadhibiti
Ahsanteni
Wanabadilishaga Njia hao..ila nyama yao wee acha
YanauzwaHii ni nyara ya serikali ataipataje?
Yanauzwa mtaaniSimba utampata wapi umkamue!?
Allah hawezi kunihukumu kwa Kula nyama labda kama sikumshukuru kwa neema hiyo aliyo kuruzukia waja wake! Labda Mwenzangu mjuzi niwekee ushahidi ilipopigwa ban..Hiyo avatar yako na hayo maneno uliyoyaandika kwenye bold yanatia shaka na ukakasi.
Allah hawezi kunihukumu kwa Kula nyama labda kama sikumshukuru kwa neema hiyo aliyo kuruzukia waja wake! Labda Mwenzangu mjuzi niwekee ushahidi ilipopigwa ban..
إِنَّمَا حَرَّمَ عَلَيْكُمُ الْمَيْتَةَ وَالدَّمَ وَلَحْمَ الْخِنزِيرِ وَمَا أُهِلَّ بِهِ لِغَيْرِ اللّهِ فَمَنِ اضْطُرَّ غَيْرَ بَاغٍ وَلاَ عَادٍ فَلا إِثْمَ عَلَيْهِ إِنَّ اللّهَ غَفُورٌ رَّحِيمٌ
Yeye amekuharimishieni mzoga tu na damu na nyama ya nguruwe na kilicho tajiwa, katika kuchinjwa kwake, jina la asiye kuwa Mwenyezi Mungu. Lakini aliye fikiwa na dharura bila ya kutamani wala kupita kiasi, yeye hana dhambi. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe, Mwenye kurehemu.