Namna ya kuandaa tamasha / semina ya motivation speech

Namna ya kuandaa tamasha / semina ya motivation speech

sonofobia

JF-Expert Member
Joined
Jun 21, 2015
Posts
1,299
Reaction score
4,692
Habari wadau

Naomba msaada wenu namna na mchakato wa kuandaa tamasha la mjadala wa hamasa kwa vijana.

Nataka kufanya hiki kitu ila sijui pakuanzia namna ya kupata kibali, wadhamini, watoa mada wazoefu na publicity ya kutosha.

Nataka kuandaa mkutano wa kuzungumzia hamasa mbali mbali toka kwa watu waliofanikiwa.

Msaada plz kwa anaejua.
 
Unataka namna ya kuwageuza vijana fursa si ndiyo hamasa gani watu wanalipia kiingilio
 
unatumia fursa kama fursa #ko unataka uwapige hela wenzako
 
Back
Top Bottom