namna mpya ya bundle airtel

namna mpya ya bundle airtel

teac kapex

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2011
Posts
470
Reaction score
137
naomba kusaidiwa hivi airtel wamebadilisha namba zao? nimetuma neno internet kwenda 15444 lkn msg haiendi nikawa na mashaka kuwa labda wamebadisha. kama kuna namba mpya nisaidieni
 
hawabadilisha, jana mimi nilituma kiivyo na niliunganisha na zangu MB 400
 
Kama inakataa amsg gani inakuletea?? ukute bundle lako bado lina mb kadhaa so huwezi kujiunga mpaka liishe lloooote
 
Labda ni tatizo la mtandao kwani hata mimi siku za nyuma nishawahi kujiunga siku za nyuma ikasumbua hivyo hivyo ila baada ya muda ikakubali
 
mbona hata mm jana usiku nimejiunga kama kawaida hiyo itakuwa mtandao unasumbua!!subiri then baadaye kidogo ujaribu tena
 
naomba kusaidiwa hivi airtel wamebadilisha namba zao? nimetuma neno internet kwenda 15444 lkn msg haiendi nikawa na mashaka kuwa labda wamebadisha. kama kuna namba mpya nisaidieni

Ni mtandao. Sasa nikupe ka-hint ka kupata slop. Ukiona mtandao wa airtel unagoma, basi unapokuja kureset hiyo msg itaenda. Kizuri ni kwamba, upo wkt ambapo unaweza kunufaika kwani utapata bando lako na ukicheki salio utaona halijatumika.
 
nimejiunga na bundle ya 400mb na ninatumia intanet kama kawaida lakin nashindwa kuwatch vidios za youtube ili ttz cjui ndo kwangu 2! memba nsaidien
 
nimejiunga na bundle ya 400mb na ninatumia intanet kama kawaida lakin nashindwa kuwatch vidios za youtube ili ttz cjui ndo kwangu 2! memba nsaidien
hiyo bundle ni ndogo na wameibana speed yake, wanasema hiyo kuitumia kwa modem ni kama kuilazimisha, but ukivizia mida ambayo haiko busy sana, na pia ukiwa sehemu yenye netweki full unaweza ongea hata na skype, na kuwatch yutyubu
 
kama bandle yako ni ya 2500 ukiimaliza haraka huwaga wanagoma kukupa nyengine.
 
kama bandle yako ni ya 2500 ukiimaliza haraka huwaga wanagoma kukupa nyengine.

noo hii sio sababu bandle wanakupa vizuri tu mi nimewahi tumia bandle yangu ndani masaa kadha nikatupia nyingine na ikagonga mzigo kama kawa na bando langu likawaupdated kama kawa.....huyu jamaa atakuwa amesumbulia na mtandao tu....
 
naomba kusaidiwa hivi airtel wamebadilisha namba zao? Nimetuma neno internet kwenda 15444 lkn msg haiendi nikawa na mashaka kuwa labda wamebadisha. Kama kuna namba mpya nisaidieni

nilipata tatizo kama hilo kwa muda siku tatu mfululizo. Nilipowafuata wakaniambia "service centre no. Sms setting ya kwenye simu yangu imebadiulika" ilipoandikwa kwa upya mambo saafi hadi leo. Tatizo hilo limejitokeza hata vodacom. Suluhisho ni la aina moja. Sms service centre kwenye handset yako unayoitumia kununulia bundles zako inajichakachua. Sijajua kuwa ni kirusi au la kinachofanya mabadiliko ya sms service centre no. Bila utashi wa mwenye handset.
 
Mara nyingi nikifikwa na tatizo hilo huwaga naaandika 'INTANETI" Badala ya 'internet' na inakubali kama kawa.
 
Mi nimeshasahau mambo ya kulipia bundle.Duh napata net free masaa 24 siku 365 za mwaka.Airtel bwana we acha tu
 
Mi nimeshasahau mambo ya kulipia bundle.Duh napata net free masaa 24 siku 365 za mwaka.Airtel bwana we acha tu
Tutakushitaki hujui kama Airtel ndiyo walipa kodi wakubwa hapa nchini tafadhali acha kuwaibia...hahahahah
 
naomba kusaidiwa hivi airtel wamebadilisha namba zao? nimetuma neno internet kwenda 15444 lkn msg haiendi nikawa na mashaka kuwa labda wamebadisha. kama kuna namba mpya nisaidieni

Kaka tatizo lako mi pia linanitokea tell me kati ya vitu hivi umevifanya?

1) umejiunga boom club?
2) umetumia usiku internet hadi umemaliza zile mb zao?
3) umemaliza hela kwenye simu halafu ukaeka 2500 cash? Tell me then ntakupa sababu
 
Airtel wamezindua 3.75g network jana. Hii kitu balaa ukigusa tu page hiyo. Fastesti n kenya na pia being rolled out in USA na Europe. Unaweza kufanya video calls,watch online tv kwa raha yako. Gharama zao kwa hapa nafuu ukilinganisha na safaricom ksh 100 per 100 mb na ksh 250 per 300 mb(airtel Tz bei zao poa zaidi) .
 
Back
Top Bottom