teac kapex
JF-Expert Member
- Jan 23, 2011
- 470
- 137
naomba kusaidiwa hivi airtel wamebadilisha namba zao? nimetuma neno internet kwenda 15444 lkn msg haiendi nikawa na mashaka kuwa labda wamebadisha. kama kuna namba mpya nisaidieni
naomba kusaidiwa hivi airtel wamebadilisha namba zao? nimetuma neno internet kwenda 15444 lkn msg haiendi nikawa na mashaka kuwa labda wamebadisha. kama kuna namba mpya nisaidieni
hiyo bundle ni ndogo na wameibana speed yake, wanasema hiyo kuitumia kwa modem ni kama kuilazimisha, but ukivizia mida ambayo haiko busy sana, na pia ukiwa sehemu yenye netweki full unaweza ongea hata na skype, na kuwatch yutyubunimejiunga na bundle ya 400mb na ninatumia intanet kama kawaida lakin nashindwa kuwatch vidios za youtube ili ttz cjui ndo kwangu 2! memba nsaidien
kama bandle yako ni ya 2500 ukiimaliza haraka huwaga wanagoma kukupa nyengine.
naomba kusaidiwa hivi airtel wamebadilisha namba zao? Nimetuma neno internet kwenda 15444 lkn msg haiendi nikawa na mashaka kuwa labda wamebadisha. Kama kuna namba mpya nisaidieni
Tutakushitaki hujui kama Airtel ndiyo walipa kodi wakubwa hapa nchini tafadhali acha kuwaibia...hahahahahMi nimeshasahau mambo ya kulipia bundle.Duh napata net free masaa 24 siku 365 za mwaka.Airtel bwana we acha tu
Mi nimeshasahau mambo ya kulipia bundle.Duh napata net free masaa 24 siku 365 za mwaka.Airtel bwana we acha tu
Mi nimeshasahau mambo ya kulipia bundle.Duh napata net free masaa 24 siku 365 za mwaka.Airtel bwana we acha tu
naomba kusaidiwa hivi airtel wamebadilisha namba zao? nimetuma neno internet kwenda 15444 lkn msg haiendi nikawa na mashaka kuwa labda wamebadisha. kama kuna namba mpya nisaidieni
niPM hiyo ya airtel maana nina hamu nayo kinomaMi nimeshasahau mambo ya kulipia bundle.Duh napata net free masaa 24 siku 365 za mwaka.Airtel bwana we acha tu