...maduka....sumuUkienda masuka ya Pembejeo za kilimo, unaikuta, imeandikwa Simu ya Nyani tu. Ni Bei rahisi, it works perfectly.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbwa hapana, kuna siku mbwa wangu alikuwa anawakimbiza nyani shambani, walipofika mbali nyani wakamgeukia wakamzingira, walimpiga sana makofi nusu afe. Alirudi akiwa na alama za mabanzi mwili mzimaTafuta mbwa
Ukiwa na mbwa wakubwa wengi nyani anakaa mwenyeweMbwa hapana, kuna siku mbwa wangu alikuwa anawakimbiza nyani shambani, walipofika mbali nyani wakamgeukia wakamzingira, walimpiga sana makofi nusu afe. Alirudi akiwa na alama za mabanzi mwili mzima
Duh! Umenikumbusha mbali sana kuna siku mbwa wetu alijidai kumfukuza nyani , aliambulia viboko si mchezoMbwa hapana, kuna siku mbwa wangu alikuwa anawakimbiza nyani shambani, walipofika mbali nyani wakamgeukia wakamzingira, walimpiga sana makofi nusu afe. Alirudi akiwa na alama za mabanzi mwili mzima
Sio kazi rahisi, na hao nyani wenzake muda huo unamchuna NGOZI mwenzao wao wapo wapi? Nyani naweza kusema ndio mnyama pekee ambae mmoja akinasa ktk mtego huwa wanamvuta ili kumuokoa na kusepa nae, ingawa wanapomvuta ndio wanarahisisha kumuua!Nimewahi kusikia hivyo ukimdaka mmoja ukamtundika hawasogei kabisa, au washirikishe serekali kitengo cha wanyama pori, utawapata ofisi ya wilaya iliyopo karibu na ww.
Nakupa mbinu hii
Ukiweza kumkamata mfunge zile kengele ndogo wanazovisha ng'ombe au mbuzi hakikisha iyo kengele umeibana vizuri,sasa mwachie aende atakavyokuwa anawakilimbia wenzake basi nao watakuwa wazidi kimkimbia na mwisho wa siku wataama na watakuwa wameingia wilaya nyingine
Amini nakwambia nilimfunga mmoja waliakimbia na kuama takribani kilometa 20 na nyani uyo nilimkuta amekufa na nikatoa kengele yangu
Na wale wengine walikuwa wamedhoofu sana kwa kukimbia sana na ile sauti ya kengele ndo iliwamaliza kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio salama atumie mechanical technician ,hata ukigoogle utaona India wanafanya nn.Tafuta mapapai yaliyoiva,toboa weka sumu,watapukutika balaa,lakini jamaa wa wanyapori wakigundua msala...
Zipo nyingi Google friendly tusiwatendee ukatili wanyama tusiharibu ecologia.Duh kuna watu wana Roho za Wanyama,Yaani Nimkamate Nyani au Ngedere alafu nimchune ngozi sababu kala Mahindi,Mi ntakuwa na njia mbadala ya kuwakomesha.
Watumie wamasai wadhibitianeJamani na ng'ombe waharibifu wanadhibitiwa vipi maana ukipata dharura ya nusu saa tuu shamba limekwisha
Sent using Jamii Forums mobile app