Namna gani nitawazuia Nyani kula mahindi shambani

Saga pilipili kwa wingi kisha jaza kwenye makopo hasa yale ya reds, bavaria8.6 ama grandmalt toboa vitobo vidogovidogo kwa chini kisha ning'iniza na kamba kwenye kila shina la mahindi hasa sehemu wanako pendelea kupitia.
Hapo ngedere akiupalamia mti wa mhindi lile kopo litatikisika na kumwagia pilipili machoni. Atashindwa kuona na kuanza kupuyanga tu akijibamiza huku na kule wakati huo wewe unakuwa na NGONGO/RUNGU lako ni mwendwa wa kuponda vichwa tu! hapo hata akipanda kwenye mti mlenge na manati atapanda hadi kileleni mwa mti, sasa kwakuwa atakuwa haoni ataanguka chini unatwanga rungu.

Ukibahatika kumnasa mkubwa wao usimuue mzimishe kidogo kisha mnyweshe NYAGI kumpiga nusu kaputi. Mchune ngozi ya uso na umvishe kengele kisha muache aende zake kuwatafuta wenzie ambao watamnyanyapaa na kuhama maeneo hayo.

Fanya hivyo kisha rudisha mrejesho hapa.
Ninazo mbinu nyingi sana za kuwasurubu hawa wanyama wachafuzi so i hope this one will workout.
bro umeuwa aise!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimecheka kizombie
Saga pilipili kwa wingi kisha jaza kwenye makopo hasa yale ya reds, bavaria8.6 ama grandmalt toboa vitobo vidogovidogo kwa chini kisha ning'iniza na kamba kwenye kila shina la mahindi hasa sehemu wanako pendelea kupitia.
Hapo ngedere akiupalamia mti wa mhindi lile kopo litatikisika na kumwagia pilipili machoni. Atashindwa kuona na kuanza kupuyanga tu akijibamiza huku na kule wakati huo wewe unakuwa na NGONGO/RUNGU lako ni mwendwa wa kuponda vichwa tu! hapo hata akipanda kwenye mti mlenge na manati atapanda hadi kileleni mwa mti, sasa kwakuwa atakuwa haoni ataanguka chini unatwanga rungu.

Ukibahatika kumnasa mkubwa wao usimuue mzimishe kidogo kisha mnyweshe NYAGI kumpiga nusu kaputi. Mchune ngozi ya uso na umvishe kengele kisha muache aende zake kuwatafuta wenzie ambao watamnyanyapaa na kuhama maeneo hayo.

Fanya hivyo kisha rudisha mrejesho hapa.
Ninazo mbinu nyingi sana za kuwasurubu hawa wanyama wachafuzi so i hope this one will workout.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Samahani wakuu nilikuwa nauliza namna gani naweza kuwazuia nyani wale wadogo (ngedere), wanamaliza mahindi yangu kabla hayajaanza kukomaa, yaani wanavunja vile vinavyoanza kuweka mahindi. Naombeni ushauri kuhusu kuwaondoa au kuwazuia wasiendelee kula.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nakupa mbinu hii
Ukiweza kumkamata mfunge zile kengele ndogo wanazovisha ng'ombe au mbuzi hakikisha iyo kengele umeibana vizuri,sasa mwachie aende atakavyokuwa anawakilimbia wenzake basi nao watakuwa wazidi kimkimbia na mwisho wa siku wataama na watakuwa wameingia wilaya nyingine

Amini nakwambia nilimfunga mmoja waliakimbia na kuama takribani kilometa 20 na nyani uyo nilimkuta amekufa na nikatoa kengele yangu
Na wale wengine walikuwa wamedhoofu sana kwa kukimbia sana na ile sauti ya kengele ndo iliwamaliza kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna sumu huwa tunaweka kwenye ndizi, maembe(kwa msimu wa maembe) pia Kama eneo Lina maboga huwa unatia sumu ndani. Ndizi usiimenye chukua bomba la kalamu ya wino,ingiza kwenye incha ya mwisho( siyo ya kwenye kikonyo) itatengeneza uwazi Kati Kati, utajaza sumu. Una ziba na ndizi, akila tu, hatembei hatua tatu. Ndizi weka upande wanakotokea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna sumu huwa tunaweka kwenye ndizi, maembe(kwa msimu wa maembe) pia Kama eneo Lina maboga huwa unatia sumu ndani. Ndizi usiimenye chukua bomba la kalamu ya wino,ingiza kwenye incha ya mwisho( siyo ya kwenye kikonyo) itatengeneza uwazi Kati Kati, utajaza sumu. Una ziba na ndizi, akila tu, hatembei hatua tatu. Ndizi weka upande wanakotokea.

Sent using Jamii Forums mobile app
kama eneo linatembelewa na watoto (binadamu) ni hatari zaidi
 
Saga pilipili kwa wingi kisha jaza kwenye makopo hasa yale ya reds, bavaria8.6 ama grandmalt toboa vitobo vidogovidogo kwa chini kisha ning'iniza na kamba kwenye kila shina la mahindi hasa sehemu wanako pendelea kupitia.
Hapo ngedere akiupalamia mti wa mhindi lile kopo litatikisika na kumwagia pilipili machoni. Atashindwa kuona na kuanza kupuyanga tu akijibamiza huku na kule wakati huo wewe unakuwa na NGONGO/RUNGU lako ni mwendwa wa kuponda vichwa tu! hapo hata akipanda kwenye mti mlenge na manati atapanda hadi kileleni mwa mti, sasa kwakuwa atakuwa haoni ataanguka chini unatwanga rungu.

Ukibahatika kumnasa mkubwa wao usimuue mzimishe kidogo kisha mnyweshe NYAGI kumpiga nusu kaputi. Mchune ngozi ya uso na umvishe kengele kisha muache aende zake kuwatafuta wenzie ambao watamnyanyapaa na kuhama maeneo hayo.

Fanya hivyo kisha rudisha mrejesho hapa.
Ninazo mbinu nyingi sana za kuwasurubu hawa wanyama wachafuzi so i hope this one will workout.
Khaa huu ni unyanyasaji wa wanyama asee. Nature ina operate hivyo mkuu. Kama ingekuwa ni biashara tunasema kuna "cost of running a business". Hivyo huko shambani inabidi katika budget muwe mnaweka na fungu la ngedere kama sehemu cost ya kilimo.
 
Kuna sumu huwa tunaweka kwenye ndizi, maembe(kwa msimu wa maembe) pia Kama eneo Lina maboga huwa unatia sumu ndani. Ndizi usiimenye chukua bomba la kalamu ya wino,ingiza kwenye incha ya mwisho( siyo ya kwenye kikonyo) itatengeneza uwazi Kati Kati, utajaza sumu. Una ziba na ndizi, akila tu, hatembei hatua tatu. Ndizi weka upande wanakotokea.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sumu inaitwaje mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tafuta mapapai yaliyoiva,toboa weka sumu,watapukutika balaa,lakini jamaa wa wanyapori wakigundua msala...
 
Saga pilipili kwa wingi kisha jaza kwenye makopo hasa yale ya reds, bavaria8.6 ama grandmalt toboa vitobo vidogovidogo kwa chini kisha ning'iniza na kamba kwenye kila shina la mahindi hasa sehemu wanako pendelea kupitia.
Hapo ngedere akiupalamia mti wa mhindi lile kopo litatikisika na kumwagia pilipili machoni. Atashindwa kuona na kuanza kupuyanga tu akijibamiza huku na kule wakati huo wewe unakuwa na NGONGO/RUNGU lako ni mwendwa wa kuponda vichwa tu! hapo hata akipanda kwenye mti mlenge na manati atapanda hadi kileleni mwa mti, sasa kwakuwa atakuwa haoni ataanguka chini unatwanga rungu.

Ukibahatika kumnasa mkubwa wao usimuue mzimishe kidogo kisha mnyweshe NYAGI kumpiga nusu kaputi. Mchune ngozi ya uso na umvishe kengele kisha muache aende zake kuwatafuta wenzie ambao watamnyanyapaa na kuhama maeneo hayo.

Fanya hivyo kisha rudisha mrejesho hapa.
Ninazo mbinu nyingi sana za kuwasurubu hawa wanyama wachafuzi so i hope this one will workout.
Hahahaha hii kiboko
 
Back
Top Bottom