Namna bora ya kutokomeza biashara ya ukahaba

Namna bora ya kutokomeza biashara ya ukahaba

dmkali

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
12,212
Reaction score
23,258
Zunguka duniani kote!
Biashara ya ukahaba ipo tangu enzi za mitume!

Hata Yesu mwenyewe katika pitapita zake mtaani Aliwahi kukutana na kisa Cha kahaba! , Ni pale kahaba alipo busu miguu ya Yesu na kumfuta kwa nywele zake,...Ni pale alipowaambia wale sungusungu

...."Ambae hajawahi kutenda dhambi awe wa kwanza kumipiga jiwe mwanamke huyu....

Hivyo Ukahaba Ulikuwapo, Upo na utaendelea kuwapo!

Halafu pia, Ngono ni HIARI na inalindwa na SHERIA ya faragha!
NI KOSA KISHERIA KUMKAMATA MTU ALIYEJIFUNGIA AKIFANYA NGONO vinginevyo uwe na kidhibitisho cha ndoa!

TATIZO
Tatizo halipo kwenye ukahaba wao, Bali lipo kwenye Eneo ambalo wanafanyia ukahaba wao ambako Ni machoni pa watu (jamii!)

Hivyo makahaba endapo kama Wizara ya Afya ingeweza kuwapa semina elekezi na kuwapatia leseni ya namna ya kutafta faragha au watengewe maeneo maalum (special area) (mfano; ghorofa ya juu ya majengo malefu mijini, Soko maalum ambapo hakuna mwingiliano wa makazi ya watu (mfano Majengo ya machinga complex kule gorofani wapangishwe). hii itasaidia Sana kutokomeza madhara!!

Biashara ya ukahaba inasaidia wengi Sana tukianza kutajana humu hapatatosha!

Yamkini hata anaemkamata kahaba nae anaweza pewa rushwa ya papa! akatulia.

Huko DODOMA Mabosi kibao mnaruka na kahaba!

Ukahaba ni fursa Kama fursa zingine ALMRADI hawaibi Cha mtu!

NINI KIFANYIKE
Makahaba Ni waungwana Sana wataftiwe sehemu maalum walipe Kodi, Ingewezekana Manispaa za majiji kote nchini Yale Majengo yasiyotumika mnaweza kuyafanya kuwa eneo maalum Kwa kuweka viwango mbalimbali vya makahaba wenye leseni level, kwanza pale langoni watu wataingia kwa kuponi, pili mtapata Kodi ya leseni za makahaba mliowasajili!
Hivyo ndivyo wanavyofanya huko Duniani!

Ukiona Jambo linawateja tambua Kuna shida! MARUFUKU NA KAMATAKAMATA HAISAIDII!

Hawa watu wanahitaji tiba ya kisaikolojia zaidi kuliko mitutu ya Bunduki!
 
Kuna waziri mmoja wa wizara fulani hivi, (ubini wake unaanza na jina la mnyama mkali Sana mla nyama porini) yeye ndo mteja mzuri Sana wa hao madada powa! Hupendelea Hadi "Threesome"
wow!
 
Kuna siku nilikwenda maeneo flani nikakutana na kahaba mtamu siwahi ona kumbe na Lecturer wangu tulikuwa tunapikwa chungu kimoja siku ya siku tukafika pamoja sister akanambia mpishe mzee apige kimoja chake aniachie mafuba.

Mzee alipomaliza nikaoshewa kitu nikala utamu upo pale pale hakika wateja wao ni ainazote za vyeo na nyazifa watu huishia kujitungua tu.
 
Kuna siku nilikwenda maeneo flani nikakutana na kahaba mtamu siwahi ona kumbe na Lecturer wangu tulikuwa tunapikwa chungu kimoja siku ya siku tukafika pamoja sister akanambia mpishe mzee apige kimoja chake aniachie mafuba.
Mzee alipomaliza nikaoshewa kitu nikala utamu upo pale pale hakika wateja wao ni ainazote za vyeo na nyazifa watu huishia kujitungua tu.
duuuu 🤣🤣🤣🤣
 
Sema kweli kahaba ni mtu wa mhimu sana. Mfano Mimi huwa sihangaiki na vidada ili mradi niwe na pesa mfukoni tu, naenda najipatia huduma kwa Raha zoteeee.

Mungu awape maisha marefu
Insha Allah
 
Kuna waziri mmoja wa wizara fulani hivi, (ubini wake unaanza na jina la mnyama mkali Sana mla nyama porini) yeye ndo mteja mzuri Sana wa hao madada powa! Hupendelea Hadi "Threesome"
Unamaanisha Simbachamwene anakulaga?
 
Sema kweli kahaba ni mtu wa mhimu sana. Mfano Mimi huwa sihangaiki na vidada ili mradi niwe na pesa mfukoni tu, naenda najipatia huduma kwa Raha zoteeee.

Mungu awape maisha marefu
Kwenye ulimwengu wa kiroho utapata taabu sana
 
Ris
Kuna siku nilikwenda maeneo flani nikakutana na kahaba mtamu siwahi ona kumbe na Lecturer wangu tulikuwa tunapikwa chungu kimoja siku ya siku tukafika pamoja sister akanambia mpishe mzee apige kimoja chake aniachie mafuba.
Mzee alipomaliza nikaoshewa kitu nikala utamu upo pale pale hakika wateja wao ni ainazote za vyeo na nyazifa watu huishia kujitungua tu.
Riski tekaa.
 
Back
Top Bottom