opala
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 390
- 975
Uko wapi nije tunyanduaneYaan wiki nzima sikua nyumban nimerudi jana usiku nikasema leo mapema naelekea kazin...huwezi amini nimeshinda nimechoka
Uko wapi nije tunyanduaneYaan wiki nzima sikua nyumban nimerudi jana usiku nikasema leo mapema naelekea kazin...huwezi amini nimeshinda nimechoka
Muziki na a little drinkYaani inafika wakati akili imechoka kabisa huna jipya unaloweza kufikiria unajikuta huna hela ya kujitoa hata out na wakuongea naye hauna. Unafanyaje ili kurudi kwenye hali yako ya kawaida!?
Yaani akili inakuwa kama imefunikwa na blancket hivi. Sijui unakuwa umepachoka unapoishi?
Au tafuta baby mkali kaa nae atakupunguzia stressYaani inafika wakati akili imechoka kabisa huna jipya unaloweza kufikiria unajikuta huna hela ya kujitoa hata out na wakuongea naye hauna. Unafanyaje ili kurudi kwenye hali yako ya kawaida!?
Yaani akili inakuwa kama imefunikwa na blancket hivi. Sijui unakuwa umepachoka unapoishi?
Tatizo mahndsome wamekua adimu kweli yaan sikuhizAu tafuta baby mkali kaa nae atakupunguzia stress
Khaaa bangi wanavuta wanaume mkuu mimi ni keAu vuta bangi
Doh!!Uko wapi nije tunyanduane
Bustan inatoka wapi kama anapanga, nauli ya daladala hana, kila rafiki akipigiwa simu anasema yuko viwanjaUkipachoka unapoishi kama umepanga fanya mpango uhame, kama ni kwako na pesa ushasema huna pambana na mazingira kwa namna ingine;Jipee shughuli mbalimbali ambazo hazitakufanya ukawa idle muda mwingi, lima bustani, panda maua ilimradi uwe na shughuli na uyaepuke mawazo. Tembelea hata marafiki ubadilishane nao mawazo. ITASAIDIA.
umejuaje kama yuko maeneo hayo au jf ni maeneo hayo tu ?lima matikiti ruvu, akili itachangamka sana chifu
Unaweza kudhani akili imechoka, kumbe akili yenyewe hata hauna!
Hapana mkuu ulichonijibia siyo jibu langu..Bustan inatoka wapi kama anapanga, nauli ya daradara hana, kila rafiki akipigiwa simu anasema yuko viwanja
Mie naona hata muziki umedundaKwangu mimi ni muziki, series, kubadilisha mazingira.
DIY ndo nini?Nikiwa kwenye hali kama yako na Nina bando huwa naingia YouTube..naangalia DIY ..naangalia music..comedy nacheekaaa..siku imepita hiyo.
Do It Yourself..huwa Ni masomo yanayotolewa na YouTuber kukuelekeza namna ya kutengeneza vitu na ukavifanua baadae ukiwa mwenyeweDIY ndo nini?
Mmmh hii nimeipendaDo It Yourself..huwa Ni masomo yanayotolewa na YouTuber kukuelekeza namna ya kutengeneza vitu na ukavifanua baadae ukiwa mwenyewe
Yes dear..na unaweza jifunza vingi vikakuingizia kipato Cha ziada.Mmmh hii nimeipenda
Kuna siku ilinitokea hivyo pia,nkiwa kwenye hali Kama hii yako nkajifariji labda nicheki movie,haikuchukua muda nikazima .na kuamua kutafuta Jambo jengine la kupoteza mudaMie naona hata muziki umedunda