Namna bora ya kurefresh akili

Namna bora ya kurefresh akili

Nikiwa kwenye hali kama yako na Nina bando huwa naingia YouTube..naangalia DIY ..naangalia music..comedy nacheekaaa..siku imepita hiyo.
Tatizo nadhani siyo tatizo la siku moja hili.. na kazini kwangu kunahitaji sana ubunifu wangu... nachukia kwasababu natakiwa nifanye kazi na akili imesimama
 
Tatizo nadhani siyo tatizo la siku moja hili..na kazini kwangu kunahitaji sna ubunifu wangu...nachukia kwasabu natakiwa nifanye kazi na akili imesimama
Pole Sana.. jitahidi usome Sana vitabu vyenye kukusaidia katika taaluma yako.. akili itachangamka tu na Mambo yatakuwa sawa.
 
Yaani inafika wakati akili imechoka kabisa huna jipya unaloweza kufikiria unajikuta huna hela ya kujitoa hata out na wakuongea naye hauna. Unafanyaje ili kurudi kwenye hali yako ya kawaida!?

Yaani akili inakuwa kama imefunikwa na blancket hivi. Sijui unakuwa umepachoka unapoishi?
Hapa ndio kijiweni kwetu, wewe njoo tupige story kama hivi ulivyofanya....
Hivi ndio vijiwe vya kidigitali karibu sana
 
Yaani inafika wakati akili imechoka kabisa huna jipya unaloweza kufikiria unajikuta huna hela ya kujitoa hata out na wakuongea naye hauna. Unafanyaje ili kurudi kwenye hali yako ya kawaida!?

Yaani akili inakuwa kama imefunikwa na blancket hivi. Sijui unakuwa umepachoka unapoishi?
Usilazimishe kazi wakati umechoka, lala mapema kila siku saa 3 uwe umelala na kuamka saa 12 asubuhi. Usikae nyumbani jioni kuanzia saa 12 tembea au nenda mahali pa kuburudika kama uwanjani au matembezi tu. Usikae muda mrefu kwenye computer, usizidi masaa 6 kwa siku. Usile sana usiku, acha ulevi kama ni mlevi. Chukua likizo angalau wiki 1 bila kazi yoyote.
 
Usilazimishe kazi wakati umechoka, lala mapema kila siku saa 3 uwe umelala na kuamka saa 12 asubuhi. Usikae nyumbani jioni kuanzia saa 12 tembea au nenda mahali pa kuburudika kama uwanjani au matembezi tu. Usikae muda mrefu kwenye computer, usizidi masaa 6 kwa siku. Usile sana usiku, acha ulevi kama ni mlevi. Chukua likizo angalau wiki 1 bila kazi yoyote.
Yaan wiki nzima sikua nyumban nimerudi jana usiku nikasema leo mapema naelekea kazin...huwezi amini nimeshinda nimechoka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom