careenjibebe
JF-Expert Member
- May 28, 2020
- 1,604
- 1,646
- Thread starter
- #101
Huwa najaribu nashindwa hii kitu nadhani nahitaji mwalimMeditation inasaidia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwa najaribu nashindwa hii kitu nadhani nahitaji mwalimMeditation inasaidia
Fanya ivo ni nzuriHuwa najaribu nashindwa hii kitu nadhani nahitaji mwalim
Wikiend leo wapi mkuu?.Tunyweni bia jamani
Kama kawa SEA BREEZEWikiend leo wapi mkuu?.
Iko mji gani hiyo mkuu?.Kama kawa SEA BREEZE
Sawa mkuu.
Yaaaap...naanza upya na mambo mapya siku inayofuataUkirudi kwako unakua mpya?
we jamaaUnaweza kudhani akili imechoka, kumbe akili yenyewe hata hauna!
daahUnaweza kudhani akili imechoka, kumbe akili yenyewe hata hauna!
Mimi nikiwa sina helaYaani inafika wakati akili imechoka kabisa huna jipya unaloweza kufikiria, unajikuta huna hela ya kujitoa hata out na wa kuongea naye hauna. Unafanyaje ili kurudi kwenye hali yako ya kawaida!?
Yaani akili inakuwa kama imefunikwa na blancket hivi. Sijui unakuwa umepachoka unapoishi?
Wamecoment watu kwamba inawezekana hata akili huna umewaita vilaza,,ila comment ya kunyanduana umeikubali inawezekana kweli akili huna....Halafu kweli hii inaweza kuwa sababu maana dah zimejaa na zenyewe balaa