Namna bora ya kurefresh akili

Namna bora ya kurefresh akili

Yaani inafika wakati akili imechoka kabisa huna jipya unaloweza kufikiria unajikuta huna hela ya kujitoa hata out na wakuongea naye hauna. Unafanyaje ili kurudi kwenye hali yako ya kawaida!?

Yaani akili inakuwa kama imefunikwa na blancket hivi. Sijui unakuwa umepachoka unapoishi?
Nakuelewa unachosema
Alafu ukute watu ni wale wale hawana mipango mipya Wala mawazo mapya...tunarudi Kule kule umasikini tulionao unatufajnya tudumae...wenzetu anaenda mbaliii....
 
Yaani inafika wakati akili imechoka kabisa huna jipya unaloweza kufikiria unajikuta huna hela ya kujitoa hata out na wakuongea naye hauna. Unafanyaje ili kurudi kwenye hali yako ya kawaida!?

Yaani akili inakuwa kama imefunikwa na blancket hivi. Sijui unakuwa umepachoka unapoishi?
Akili ikiwa imechoka huwa napendelea kwenda hotel zenye ghorofa nyingi nakaa upande Balcony naagiza bia moja au mbili, nikiwa naangalia ile view kwa chini huwa narelax mnooo... nikimaliza bia nashuka zangu narudi home nalala
 
Akili ikiwa imechoka huwa napendelea kwenda hotel zenye ghorofa nyingi nakaa upande Balcony naagiza bia moja au mbili, nikiwa naangalia ile view kwa chini huwa narelax mnooo...nikimaliza bia nashuka zangu narudi home nalala
Ukirudi kwako unakua mpya?
 
Yaani inafika wakati akili imechoka kabisa huna jipya unaloweza kufikiria unajikuta huna hela ya kujitoa hata out na wakuongea naye hauna. Unafanyaje ili kurudi kwenye hali yako ya kawaida!?

Yaani akili inakuwa kama imefunikwa na blancket hivi. Sijui unakuwa umepachoka unapoishi?
Ikitokea hali hiyo, vaa raba au viatu vyepesi, toka nyumbani kwako tembea kwa miguu kwa muda kama lisaa au zaidi then rudi nyumbani, akili itakuwa refreshed
 
Nikiwa kwenye hali kama yako na nina bando huwa naingia YouTube.. naangalia DIY.. naangalia music..comedy nacheekaaa..siku imepita hiyo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom