Namna bora ya kukata roho

Namna bora ya kukata roho

Ueleweke vip mshana...mbona unatuchanganya ulikuwa unamsadiaje huko kwenye ulimwengu wa roho?ulikuwa unampa maji au
 
Ueleweke vip mshana...mbona unatuchanganya ulikuwa unamsadiaje huko kwenye ulimwengu wa roho?ulikuwa unampa maji au
Hapana na kamwe usijaribu kumpa maji mgonjwa mahututi
 
hivi mtu anaefanya meditation vzr anaweza kulogwa na wanga wa dunia hii?nimewahi fanya meditation sema sina ticha ingawa naonaga nakuwa na peace of mind sana ila sasa sipendi kujakuwa mshirikina nataka kufanya meditation ili kulinda positive energy yangu nisidhulike na vitu vby na mabaya ya dunia hii,is it possible?
 
hivi mtu anaefanya meditation vzr anaweza kulogwa na wanga wa dunia hii?nimewahi fanya meditation sema sina ticha ingawa naonaga nakuwa na peace of mind sana ila sasa sipendi kujakuwa mshirikina nataka kufanya meditation ili kulinda positive energy yangu nisidhulike na vitu vby na mabaya ya dunia hii,is it possible?
Ni ngumu sana kwakuwa unakuwa na self defense tayari
 
Kifo ni mwanzo sio mchakato. Once roho inapoachana na mwili husafiri mamilioni ya kilometers kwenye utupu wa dunia. Ni kama imetoka kifungoni na sasa iko huru. Roho ndani ya mwili uwezo wake huwa wa mipaka mno. Ni mpaka mtu afanye juhudi za kufungua jicho la tatu ndio kidogo unaweza kuona zaidi ya kuona.

Kiingereza tunasema seeing beyond. Bila kujali roho itasafiri kwenda wapi mautini ama katika uhai bado kuna muunganiko usiokoma na mwili husika, hivyo daima hurejea. Watu wale walionusurika vifo, yani wale waliofika hatua ya umahututi. Katikati ya kifo na uzima, wakizinduka hukwambia kwamba wameota ama waliona wanaenda mbali sana. Mbali kabisa angani ama chini ya dunia kusiko na mwisho ama tambarare isiyo na ukomo.

Wanaenda tu lakini hawafiki na walikuwa wanasikia sauti kwa mbali zikiwaita warudi. Kifo ni mwanzo sio mchakato. Death is the state not the process.
View attachment 584381

Kila roho ina asili. Ina makazi asili na makazi mbadala, makazi ya muda ama makazi ya kupita
Mwezi uliopita mwishoni tulipoteza kijana wetu ofisini alianguka umbali wa mita tano toka juu na akatua kwenye zege. Nilikuwa naye mpaka anakata roho. Tulifanya juhudi mbalimbali za kuokoa maisha yake. Tukamkimbiza hospital ya mkoa na baadae Muhimbili kwa ambulance

Muda wote huo niliona alivyokuwa akipambana roho isimuache. Niliingia ulimwengu wa roho kimyakimya kumsaidia uhai, mapambano. Ni kupitia huko nilimuona akielea mbali kabisa na mimi. Alikuwa mwepesi na mwenye kasi ya ajabu. Nilirudi kimwili na kumuona akijaribu kupepesa macho huku madaktari kwa juhudi kubwa wakifanya hand pumping, mashine ilikuwa imeshashindwa kazi.

Nilianza kuchant mantras za mwisho mwema. Nkachant Krishna, nikachant kuan ing pussa. Dakika kumi baadae akapumzika kwa amani. Hana mateso tena. Tunafanya makosa mengi na kushindwa kuwasidia wapendwa wetu kukata roho salama. Kumbuka hata sekunde zile za mwisho unaweza kumsaidia marehemu akawa na mwisho mwema. Kuna vita ya kiroho muda ule, kuna uvutano wa hasi na chanya, kuzimu na mbingu.

Ukiwa mtulivu unaweza kumsaidia asiende upande mbaya I mean roho yake. Sanasana ni roho kutoka na kwenda kuripoti kwenye makazi yake asilia kisha kurudi kwenye makazi yake duniani. Tunaita blissful state. Ukikosea kidogo ana hata yeye mwenyewe basi roho yake huwa ya kutangatanga bila ya kuwa na kikao maalum na kuleta shida kubwa.

Ibada za mwisho kabla ya kukata roho ndio tunazozifahamu zaidi, lakini tukumbuke kuna ibada nyingi tofauti ambazo huwa msaada mkubwa kwa marehemu. Sehemu nyingi za ajali na majanga, tunapoona watu wakikata roho ni sehemu sahihi za kufanya ibada za binafsi sirini, ibada za kuingia ulimwengu wa roho kimyakimya kwenda kutoa msaada wa kuomba njia sahihi kwa wale wafao.

Najua sijaeleweka ngoja jukwaa letu lianzishwe tutaeleweshana zaidi


Jr
Supper narrative story
 
Mchana naomba nikuulize
1:unazungumziaje suala la siku za mwisho kwa ujumla. Hapa namaanisha siku ambapo ni mwisho wa uhai wa kila mmoja
2: Kwa mtazamo wako jehanamu kwa waovu ipo ??
Na mbinguni je, ni kitu really??
3; Dini ina maana gani kwako
4: Nimeanza kuwa na wasiwasi na vitabu vya Dini na Dini kwa jumla. Unanishaurije
Asante
 
Mchana naomba nikuulize
1:unazungumziaje suala la siku za mwisho kwa ujumla. Hapa namaanisha siku ambapo ni mwisho wa uhai wa kila mmoja
2: Kwa mtazamo wako jehanamu kwa waovu ipo ??
Na mbinguni je, ni kitu really??
3; Dini ina maana gani kwako
4: Nimeanza kuwa na wasiwasi na vitabu vya Dini na Dini kwa jumla. Unanishaurije
Asante
Nitarejea
 
Mchana naomba nikuulize
1:unazungumziaje suala la siku za mwisho kwa ujumla. Hapa namaanisha siku ambapo ni mwisho wa uhai wa kila mmoja. Kiroho hakuna siku ya mwisho labda katika mwili uharibikao
2: Kwa mtazamo wako jehanamu kwa waovu ipo ??ipo na inafanya kazi
Na mbinguni je, ni kitu really??kupo pia LAKINI ni kiroho tena kiimani
3; Dini ina maana gani kwako... Njia ya kutafuta ukamilifu wa kiroho
4: Nimeanza kuwa na wasiwasi na vitabu vya Dini na Dini kwa jumla. Unanishaurije... Hupaswi kuwa na wasiwasi, misahafu si kama novel
Asante
pedama soma katikati ya mistari nimekujibu
 
Back
Top Bottom