Jibu wapi mkuu,halafu hawa mods sijui wanatumia vigezo gani kuondoa nyuzi za watuCC: KISIWAGA
Naona mada yako ile imeondoshwa.. Jibu hili huku
Mkuu, upo hewani nikuulize kituSoma mada kuanzia mwanzo
Kaburini kinachozikwa ni mwili tu, mwili auna uhai, aupumui, auli, autambui chochote, ni kama jumba fulani lisilo na wakaaji maana tayari roho ishatoka.Hapo kwenye red hujasema kweli.......kwani utakapokuwa kaburini Ufahamu wa kiroho utakuwa nao ili ujue baada ya hukumu utakuwa wa upande gani kati ya pepo au moto na hapo ndipo kilio na kusaga meno hutokea....................
Kaburini kinachozikwa ni mwili tu, mwili auna uhai, aupumui, auli, autambui chochote, ni kama jumba fulani lisilo na wakaaji maana tayari roho ishatoka.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app


