Ing'ang'a
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 1,866
- 1,279
Sijakuelewa Ndugu yangu samahani ebu State vzrAisee vepe tunasubiri mkuu pia weka mdogo ambao waweza anzia hiyo biashara
Sijakuelewa Ndugu yangu samahani ebu State vzrAisee vepe tunasubiri mkuu pia weka mdogo ambao waweza anzia hiyo biashara
Tupogo Mkuu.Huyu kijana kaleta uzi very informative,hizi ndo nyuzi za kuongeleaamo sasa,sio kushindia mambo ya siasa ambayo ni useless
Tsh.18000-15000
Debe Lina kilo Tano mpaka na sometimes Dagaa huwa zina Uzito wake Pia.Nimekupata sana kiongozi na kwenye debe kuna makadilio ya kilo ngapi??
nahitaji mawasiliano yako sijaona wapi umetoa namba zako....plzTupogo Mkuu.
Namba zangu ziko Juu Kabisa Tata Au piga ;nahitaji mawasiliano yako sijaona wapi umetoa namba zako....plz
Uchawi Upo kama Utaamini au Unaamini ILA kama huamini kitu hicho hakipo .Tunashukuru kaka, kunachangamoto uliyoitaja kuhusu uchawi sada sijui sisi tuliokuwa weupe unatushauri nini?
Nashukuru kwakututia moyo ngoja tukajaribu sisi tunamungu wao wanayaoUchawi Upo kama Utaamini au Unaamini ILA kama huamini kitu hicho hakipo .
Sawa Mkuu.Nashukuru kwakututia moyo ngoja tukajaribu sisi tunamungu wao wanayao
kabla ya kununua mzigo lazima uliresearch soko na upatikanaji wa hao dagaa,biashara ya dagaa tatizo ni soko.soko lake ni gumu,walioanza mwanzono kabisa ndio wanafaidi
process za vibali zikoje ama inatakiwa leseni?Sawa Mkuu.
Lesseni Tsh. 48000/= na Ushuru Lazima ulipie Kila Gunia lililo teari kusafirishwa kabla ya kulitioa sehemu husika.process za vibali zikoje ama inatakiwa leseni?
Ushuru beigani kwa kila guni?Lesseni Tsh. 48000/= na Ushuru Lazima ulipie Kila Gunia lililo teari kusafirishwa kabla ya kulitioa sehemu husika.
Ushuru Ni Buku @ Gunia la 120- 100 - 90- 85Kg.Ushuru beigani kwa kila guni?