buyoya419
JF-Expert Member
- Oct 20, 2017
- 555
- 416
Nina mtaji wa kama 1m nimefikiria nianzishe biashara hasa ya dagaa hasa za nwanza zisizo na mchanga
Nahitaji msaada wenu hasa
*Bei ya ndoo na inakuwa kilo ngapi
*Bei ya gunia na linakuwa na kilo ngapi
*Chimbo la kuuzia kwa jumla na rejareja
*n.k hasa kwa wazoefu
Kambi popote
Nahitaji msaada wenu hasa
*Bei ya ndoo na inakuwa kilo ngapi
*Bei ya gunia na linakuwa na kilo ngapi
*Chimbo la kuuzia kwa jumla na rejareja
*n.k hasa kwa wazoefu
Kambi popote