Kilo bei ganiNauza dagaa pia, kutoka Bukoba (Igabiro), napeleka mzigo kasulu-kigoma
Natafuta frem Dar nahitaji kufungua stoo ambayo ntakuwa natoa mzigo Bukoba mpaka Dsm nauza jumla na rejareja pia
Uhakika wa magunia ni 25 sawa na tani 1.5
Kama una koneksheni yoyote
PM au Nicheki 0757487684