yello masai
JF-Expert Member
- Jan 8, 2016
- 3,553
- 3,515
Vipi wadau mbona imepotezewa hii?
Sasa mbona hutoi detailsMi naijua vizuri Sana Kwan ndo Business ambayo Mzee Wang na Kaka wanafanya na Mimi Ni supervisor WA Company ya brother Mimi niko Musoma .
kana Tata Mura unataka details, Kwan wee ndo Umeleta Huu Uzi Tata au Tu UNA KIHEREHETE AngaliaSasa mbona hutoi details
kana Tata Mura unataka details, Kwan wee ndo Umeleta Huu Uzi Tata au Tu UNA KIHEREHETE Angalia
Wee ndiye uliza ? Pia Mimi sio mhaya mwenzio.Watu wengine bwana!Sasa umesema unaijua sana afu unataka ubembelezwe kutoa details?
Usilazimishe Mazoea na Na Mimi.Watu wengine bwana!Sasa umesema unaijua sana afu unataka ubembelezwe kutoa details?
Kweli mkuuMdau hii biashara naona uje ufanye kwanza research humu ndan inaonekana wengi hawaijui
Wanafanyia wapi mkuu. Musoma au dar?Mi naijua vizuri Sana Kwan ndo Business ambayo Mzee Wang na Kaka wanafanya na Mimi Ni supervisor WA Company ya brother Mimi niko Musoma .
Yello Masai Mura Hii Business unaweza kununua kutoka Musoma - soko la Musoma linaitwa Mwigobero ukaenda kuuza Dar , Mimi mi Mhitimu WA Chuo kikuu cha Mtakatifu Augostino - Mwanza Campus lakini kwa sasa nafanya kazi ya Kusimamia na kuhakiki upimaji WA Madumu ya Dagaa , mzee Wang Mimi ndo Biashara yake na Kaka angu ananunua mpaka Tani 300 Za Dagaa anapeleka Dar kwa Falcon - Tegeta , kwa Matinde kitunda , Kibaha kwa Mama Mkuza pale Mkuza Chicks Na masoko mengineyo hii Business inahitaji Sometimes Huge amounts of money Ndo hata profit inakua maximized ILA hata wenye mitaji midogo midogo wapo na wanafanya na wanapata faida kulinga na mitaji Yao , kumbka mungu Baba ndye mtoaji WA Riziki zote.Wanafanyia wapi mkuu. Musoma au dar?
Bro mbona kama unakisilani,umetafuniwa mke leo?!Wee ndiye uliza ? Pia Mimi sio mhaya mwenzio.
Tata kana mi siwezi kabisa kutafaniwa Ila mi ndo natafunia watu tena angalia hata Wako naweza tafuna kosa Tu nimjue.Bro mbona kama unakisilani,umetafuniwa mke leo?!