utantambua
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 1,367
- 321
Mama huyu ni mfano wa kuigwa kwa wabunge wengine, akiwa bungeni anaongea kwa kujiamini na haogopi.una maoni gani kuhusu ujasiri wa mama huyu
Mbwiga tu huyu hana lolote.
Mama huyu ni mfano wa kuigwa kwa wabunge wengine, akiwa bungeni anaongea kwa kujiamini na haogopi.una maoni gani kuhusu ujasiri wa mama huyu
Yaan umeingai tu jamii forums na kutoa post hii?yule hana lolote ni siasa za makundi tu ndo zinamsumbua
Samahani WofS, kama nimekukwaza. Nieshindwa kujizuia.Really?
Tehe tehe teheeee!!baada ya kuona mchango wake siku ya mswada wa katiba na ishu ya Jairo. Nikagundua hafai hata kwa kulumangia
Mama huyu ni mfano wa kuigwa kwa wabunge wengine, akiwa bungeni anaongea kwa kujiamini na haogopi.una maoni gani kuhusu ujasiri wa mama huyu
........swala ni hoja hapa, sio kujiaminisha halafu unamwaga pumba, hoja zenye mantiki.Mama huyu ni mfano wa kuigwa kwa wabunge wengine, akiwa bungeni anaongea kwa kujiamini na haogopi.una maoni gani kuhusu ujasiri wa mama huyu
WaKuu!
Mimi nimzaliwa wa jimboni kwake, na tunatoka kijiji kimoja kiitwacho Kihurio Uzambara. Mama hana lolote zaidi ya kuutegemea mwili wake na ndiyo maana mumewe wa kwanza hapa Kihurio alimuacha. Baada ya hapo alihamia Arusha Hotel Equator ambapo kila jioni alipiga kambi pale (nadhani mnanielewa mnaojua shughuli za wamama ikifika jioni mitaa ile).
Sasa kama ni hivyo, usitegemee lolote la maana kwa muwindaji kama huyo zaidi ya kuchumia tumbo lake. Sisi hatukumtuma kupiga kelele zisizo leta tija pale bungeni. Wananchi wake tunahangaika kila kukicha. Umasikini ndiyo umetamalaki hapa jimboni. Nasikitika rushwa ilisababisha tuka mkosa mama DANIDA aliyewezesha kujenga barabara sehemu za milimani na kurahisisha usafiri.
Kama kutokwa na povu kwa kelele bungeni ndiyo tija sawa, vinginevyo hakuna lolote. Uzao wa mafisadi ni fisadi tu.
Nawasilisha.
kama na wewe unatabia kama yake ni sawa na ni lazima umkubali. birds of same feather............:baby::baby::baby:hahahahaaaaaaaaaaaaaaa. huu mwaka mtakoma wenyewe.Mama huyu ni mfano wa kuigwa kwa wabunge wengine, akiwa bungeni anaongea kwa kujiamini na haogopi.una maoni gani kuhusu ujasiri wa mama huyu
Mama huyu ni mfano wa kuigwa kwa wabunge wengine, akiwa bungeni anaongea kwa kujiamini na haogopi.una maoni gani kuhusu ujasiri wa mama huyu
huyu mama alisema hata kubali mpaka pesa za epa zirudishwe vipi alithibitisha kama zilirudishwa,hana lolote bendera fuata upepo anajipendekeza tu fulu kilaza hajielewi
WaKuu!
Mimi nimzaliwa wa jimboni kwake, na tunatoka kijiji kimoja kiitwacho Kihurio Uzambara. Mama hana lolote zaidi ya kuutegemea mwili wake na ndiyo maana mumewe wa kwanza hapa Kihurio alimuacha. Baada ya hapo alihamia Arusha Hotel Equator ambapo kila jioni alipiga kambi pale (nadhani mnanielewa mnaojua shughuli za wamama ikifika jioni mitaa ile).
Sasa kama ni hivyo, usitegemee lolote la maana kwa muwindaji kama huyo zaidi ya kuchumia tumbo lake. Sisi hatukumtuma kupiga kelele zisizo leta tija pale bungeni. Wananchi wake tunahangaika kila kukicha. Umasikini ndiyo umetamalaki hapa jimboni. Nasikitika rushwa ilisababisha tuka mkosa mama DANIDA aliyewezesha kujenga barabara sehemu za milimani na kurahisisha usafiri.
Kama kutokwa na povu kwa kelele bungeni ndiyo tija sawa, vinginevyo hakuna lolote. Uzao wa mafisadi ni fisadi tu.
Nawasilisha.