That's people thought hadi pale alipoanza kula matapishi kwa ushirikiano mkubwa na Stella Manyanya. Jana alikuwa anamtetea Ngeleja wakati mwezi July wakati wa bajeti alikuwa anasema hafai!
Yaan umeingai tu jamii forums na kutoa post hii?yule hana lolote ni siasa za makundi tu ndo zinamsumbuaMama huyu ni mfano wa kuigwa kwa wabunge wengine, akiwa bungeni anaongea kwa kujiamini na haogopi.una maoni gani kuhusu ujasiri wa mama huyu
Mama huyu ni mfano wa kuigwa kwa wabunge wengine, akiwa bungeni anaongea kwa kujiamini na haogopi.una maoni gani kuhusu ujasiri wa mama huyu
huyu mama ni mnafiki tu, hafai kabisa.
Imani imenipungua sana kwa haka kamama. Ni kelele tu zinakafanya kawe famous. Nimekaweka kwenye kapu moja la magamba. Ukifuatilia matukio ya hivi karibuni ya kisiasa yanaweza kukusaidia kuelewa ninachoongea.