Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,433
- 11,747
nipe mfano wa nchi yoyote ile africa ambayo katiba mpya ilileta ahueni katika mfumo wake wa kisiasa, mabadiliko yanaanzia kwa watu wenyew kwanza, watu wanaoamin mbowe hawez kukosea/kushtakiwa plus wale wanasayansi walioshauri mashine za nyungu zikafungwe hospitali kabisa hapa katiba mpya inaweza isiwe msaada
Zipo mfano ni jirani Kenya na Africa Kusini etc