Akimwachia mbowe hili la maji na umeme anaweza nidanganya nikaamini,akimweka mbowe ndani najuwa anataka kuchota sehemu na hataki keleleUkiacha la Mbowe unampendea Tozo au mgao wa maji na umeme ?
Akimwachia mbowe hili la maji na umeme anaweza nidanganya nikaamini,akimweka mbowe ndani najuwa anataka kuchota sehemu na hataki keleleUkiacha la Mbowe unampendea Tozo au mgao wa maji na umeme ?
Huu ni mtazamo wakoMkuu kachukiwa kweli kweli na walio wengi. Wanaomsifia sasa hivi ni kakikundi kadogo cha wanafiki wanufaikaji. Kikundi kile kinatumia udhaifu wake wa kutojua ni nini hasa anachokiamini na kukisimamia.
Kwanini likinyime furaha je samia anahusika vipi na mboweBinafsi nampenda lkn swala la Mbowe linaninyima furaha
Makosa ya viongozi wetu ni kukosa broad scope ya kuchagua watanzania wataalamu waliojaa kibao hata katika sectors binafsi. Kurudia rudia wale wale wakilasiku miaka nenda rudi si jambo jema kabisa kwasababu wanarevive ile mirija na makundi yao ya ulaji iliyoparanganyika.Tunategemea kupata ufumbuzi wa matatizo yetu toka kwao watendaji walio yaanzisha, wakatimuliwa na kisha kurejeshwa kundini.
Kuwaachia uamsho waliosingiziwa ugaidi wakakaa miaka 8 bila ushahidi kupatikana
Kwa kifupi, wanaoitwa Mabeberu watakuwa wamepata mwanya au upenyo wa kuingiza agenda zao na ambazo obviously zitawagharimu watawala na chama chao kwa ujumla. Kama wakiamua kumfunga Mwamba
Well saidi. Ni kweli kurudia rudia wale wale ni kulinda mirija yao ya upigaji.Makosa ya viongozi wetu ni kukosa broad scope ya kuchagua watanzania wataalamu waliojaa kibao hata katika sectors binafsi. Kurudia rudia wale wale wakilasiku miaka nenda rudi si jambo jema kabisa kwasababu wanarevive ile mirija na makundi yao ya ulaji iliyoparanganyika.