ndugai kilaza na mwoga kama makinda tofauti mmoja mwanamke mwingine mwanamme
nadhani haya ndo maelezo sahihi.[mwenda tezi na omo msubilie ngamani:msela:]
ndugai jembe sema tatizo yupo ccm
Mkuu upo sahihi kabisa, Ndugai anawanyima muda wachangiaji mhimu halafu yeye anajipa muda wa kuchapa stori za kijinga ambazo hazisaidii chochote!ndugai kilaza na mwoga kama makinda tofauti mmoja mwanamke mwingine mwanamme
Ni vigumu kupata kama mzee Sita lkn Job Ndugai anafaa aise sio siri. Anamwacha kwa mbali sana Bi Kiroboto
nakubaliana na ndugai,wakuu wa idara wengi wao wanapatikana kwa rushwa na kujuana ndio maana halmashauri nyingi utendaji kazi una walakini.alitakiwa ndie awe spika bi kiroboto ni kibaraka ashangaa wakuu wa idara wanavyopatikana wanajua wakubwa
Tatizo letu wabongo tunakuwa impressed kirahisi sana. Nilimsikiliza huyu Ndugai katika mjadala fulani jamaa either hajui some basics of separation of powers au ana kiss azz ya executive it's a shame.
Ndiye huyu anasifiwa leo au mwingine?
Watu walivyomshambulia Lusinde mie nikasema anayevuma Lusinde, kumbe kina Ndugai kibao wapo.
Niambieni ana kipi cha kumu impress mtu anayeangalia mambo kwa jicho critical?
Mkuu Kiranga, japo Ndugai is not the best we have, ila he is 100X better than Makinda.Tatizo letu wabongo tunakuwa impressed kirahisi sana. Nilimsikiliza huyu Ndugai katika mjadala fulani jamaa either hajui some basics of separation of powers au ana kiss azz ya executive it's a shame.
Ndiye huyu anasifiwa leo au mwingine?
Watu walivyomshambulia Lusinde mie nikasema anayevuma Lusinde, kumbe kina Ndugai kibao wapo.
Niambieni ana kipi cha kumu impress mtu anayeangalia mambo kwa jicho critical?