johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,149
Ni ibadani KKKT Kimara ambapo Spika wa Bunge la JMT mh Dr Tulia PhD amejumuika na Wakristo wenzake Jumapili Hii ya Kwanza ya Majilio
Mchungaji Matsahi amemtaka Dr Tulia PhD kuwa karibu zaidi na Mungu wa Mbinguni wakati huu
Aidha amemtaka awe mwangalifu na Marafiki na Watu wanaomsogeleasogelea na iliwezekana awaepuke kabisa
Nawatakia Majilio Yenye Baraka 😀
Mchungaji Matsahi amemtaka Dr Tulia PhD kuwa karibu zaidi na Mungu wa Mbinguni wakati huu
Aidha amemtaka awe mwangalifu na Marafiki na Watu wanaomsogeleasogelea na iliwezekana awaepuke kabisa
Nawatakia Majilio Yenye Baraka 😀