Watanzania acha kulalamika kila kitu, nchi imeshindwa kuendelea kwa vitu kama hivi, Kigamboni ni strategic area,Daudi Mchambuzi anahoji kwa nini Kigamboni? jibu ni kwamba Kigamboni ni strategic area kama ambavyo wamarekani waliamua manhatan iwe strategic business centre.
Bigup mama Tibaijuka hayo ndo maamuzi magumu tunayotakiwa kufanya kama wananchi na viongozi kwa ujumla. Ulalamishi hautusaidii ingawa ni kweli pia katika kutafuta kizuri kuna watakaoumia, na hili sio geni kwa aliyeshawahi kwenda vitani analifahamu.
Bigup mama Tibaijuka hayo ndo maamuzi magumu tunayotakiwa kufanya kama wananchi na viongozi kwa ujumla. Ulalamishi hautusaidii ingawa ni kweli pia katika kutafuta kizuri kuna watakaoumia, na hili sio geni kwa aliyeshawahi kwenda vitani analifahamu.