matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 6,584
- 15,354
Nimekuwa nikimfuatilia Lissu kabla na baada ya tukio la kujeruhiwa.
Wengi wanaompinga kwa kisingizio cha ukibaraka wenda wanafanya makusudi, au wanataka kuwaokota watu wasio na ufahamu au ni kukidhalilisha chama cha Mapinduzi kwa kutumia mbinu za kizamani.
Zamani za CUF tulitishiwa udini.
CHADEMA na slaa tukaambiwa vita na machafuko.
Lowasa fisadi huku Mahakama ya mafisadi ikibaki inapiga mihayo bila wateja.
Leo Lissu Jamii inaaminishwa ni mtu Hatari na Kibaraka Mkubwa wa wezi wa madini, wazungu na mabeberu kwa Aina zao.
Kwa CCM hii ni Kete nzuri ya kuhadaa wananchi lkn miaka ya 2015 kurudi nyuma sio Leo.
Wengi tunataka facts sio porojo.
Napenda kumpinga sana Lissu, na niliumia aliposadikiwa kupigwa risasi, nilimuombea sana apone haraka ili nimpinge akiwa mzima kwa facts ila hilo la kumuita kibaraka sio sawa.
Mnamuonea wakuu
Wengi wanaompinga kwa kisingizio cha ukibaraka wenda wanafanya makusudi, au wanataka kuwaokota watu wasio na ufahamu au ni kukidhalilisha chama cha Mapinduzi kwa kutumia mbinu za kizamani.
Zamani za CUF tulitishiwa udini.
CHADEMA na slaa tukaambiwa vita na machafuko.
Lowasa fisadi huku Mahakama ya mafisadi ikibaki inapiga mihayo bila wateja.
Leo Lissu Jamii inaaminishwa ni mtu Hatari na Kibaraka Mkubwa wa wezi wa madini, wazungu na mabeberu kwa Aina zao.
Kwa CCM hii ni Kete nzuri ya kuhadaa wananchi lkn miaka ya 2015 kurudi nyuma sio Leo.
Wengi tunataka facts sio porojo.
Napenda kumpinga sana Lissu, na niliumia aliposadikiwa kupigwa risasi, nilimuombea sana apone haraka ili nimpinge akiwa mzima kwa facts ila hilo la kumuita kibaraka sio sawa.
Mnamuonea wakuu