Wana Jf juzi nilisahau cm yangu yenye namba ya cm ya mama yangu na nilipotaka kuwasiliana na mama yangu kwa mshangao mkubwa sikuikumbuka kabisa. Namba nilizokumbuka kichwani ni moja ya mchepuko ya pili ni ex g wangu na ya tatu ni ya kazini.
Kwa dhati ya moyo wako namba za akina nani umezikariri?
Kwa dhati ya moyo wako namba za akina nani umezikariri?