Gor
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 2,791
- 847
Tanzania bwana!kwani kuna watu wasiojua kuwa kadi ya mpiga kura ni mali ya mpiga kura na kazi yake ni kupiga kura tu.Siku moja baada ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kukamilisha zoezi la uandikishaji wa wapigakura kwa mfumo wa BVR, imesema mtu yeyote haruhusiwi kutoa kadi yake ya wapigakura au taarifa za kadi hiyo kwa ndugu,jamaa au mwajiri wake.
Mkurugenzi wa NEC, Kailima Kombwey alisema jana kuwa kwa mujibu wa sheria ya uchaguzi, hairuhswi na haitakiwi kwa mtu yeyote asiyehusika na kadiya mpigakura kuimiliki kadi hiyo.
Chanzo: Mwananchi ukurasa wa 6