Source????
Mkuu, afande mentor source ukimpata?. Askari ni miongoni mwa makundi yaliyo vulnerable, kazi zao haziwapi uhuru kamili wa kujiamulia. Wao hutii amri tu, tatizo linaanzia pale wakubwa wao wanapo fuja mamlaka juu yao.
Source????
Mkuu wa kituo cha polisi Wilayani Mafia ametumia ukuu wake kuwaamuru askari wake wote wakusanye kadi zao za kupigia kura na hatimae kuchukuliwa namba za kila kadi na hatimae wakarudishiwa kadi zao.
Vipi wanajamii hili sio bao la mkono kweli?
hivi unatishwaje na wajumbe wa nyumba 10 ambao 90% hawajui kusoma na kuandika ?jamani hili suala la kukusanya vitambulisho huku mtaani ni hatari sana na huu mwaka tukae vizuri maana tunaweza ingia matatizoni
hivi unatishwaje na wajumbe wa nyumba 10 ambao 90% hawajui kusoma na kuandika ?
kadi ya mpiga kura,ni maalumu kwaajili ya kupigia kura tu. Je,waajiriwa selikalini walio lazimishwa na waajiri wao wapeleke namba za vitambulisho vyao vya kupigia kura ni kwa maslahi ya nani? No reseach,no data,no right to speak.
Mkuu hiyo ni moja ya dalili Kwamba ccm inapelekea Kuwa chama upinzani .kulazimisha watumishi wa umma,watuwasiotakiwa kufungamana na chama chochote katika utendaji wao wa kila siku,ni dalili Kuwa mgonjwa ana kata roho.take my wordKadi ya mpiga kura,ni maalumu kwaajili ya kupigia kura tu. Je,waajiriwa selikalini walio lazimishwa na waajiri wao wapeleke namba za vitambulisho vyao vya kupigia kura ni kwa maslahi ya nani? No reseach,no data,no right to speak.
mnyika/facebook.comsource????