Wiyelelee
JF-Expert Member
- Nov 9, 2012
- 1,071
- 347
Wamezuka watu wanapiga simu na kusumbua kwamba wanauza kemikali mbalimbali za kusafishia maji. Kuweni macho nao. Naamini namba za mawasiliano wanazipata sana katika stationery ambako watu mbalimbali wanakwenda kuchapisha kadi za harusi au za mialiko mbalimbali.
Hivyo ndugu zangu kaa nao mbali watu hawa.
Hivyo ndugu zangu kaa nao mbali watu hawa.