Namba za Magari TZ

uko sawa kabisa mkuu, kula tano!
tatizo ni kwamba jamaa wa serikalini sijui wanakurupuka??
wanashindwa kuelewa kila kukicha magari yanaongezeka, ilitakiwa waelewe kwamba wanahitaji kuweka system ambayo namba zitakaa kwa muda mrefu zaidi bila kubadili system.
sasa twende kimahesabu hapa chini:
herufi A-Z ziko 26
namba wanasajili kuanzia 101-999=(999-100)=898

kwahiyo kwenye herufi 3, yaani T 666 UKE kutakua na
26*26*26*898= 15,783,248

sijajua takwimu za magari tuliyonayo kwa sasa, lakini dalili zinaonyesha hii system haitafikisha miaka 10 tangu sasa kua full.
hali itakua mbaya kwa Zanziberi wao ndo wamepunguza
Z 666 UK!!

ila kwenye hizi herufi zile zote zinazofanana na namba hazihusishwi, mfano I, O
sipati picha gari liwe na namba hii T 666 CCM ligongane uso kwa uso na lingine lenye namba T 999 CUF, duh itakua balaa. (joke)
icon10.gif
icon10.gif


Sasa mnataka watakaokuja wale wapi?hivi nyie mazuzu?atlist huyo alieplan hii kitu amewaachia na watakaokuja angeifanya iwe ya milele je? Bravo che nkapa
 
Poleni sana mtazoea tu, tatizo lililopo hapa ni mfumo mawazo, mindset. Msipende kukaa bongo tu, jaribu kutembea tembea mfike mpaka Japan mtakutana na watu wanaitwa Takauchi, mji unaitwa Kumamoto n.k. Lakini zaidi ni unafiki tu kwa sababu huko Uchaggani majina ya aina hii yapo na wapi kule Morogoro yanakotoka matunda mengi, tajeni wenyewe panaitwaje, mbona hampati kigugumizi kutamka, lo, acheni mfumo ufanye kazi!


Wasukuma wanamajina kama "kumalija" mkoa wa kagera wilaya inaitwa "katerero", morogoro "matombo"
 
Wasukuma wanamajina kama "kumalija" mkoa wa kagera wilaya inaitwa "katerero", morogoro "matombo"
umesahau KUNDUCHI, KIGOGO, CHANGOMBE, UKONGA, PASUA, NA KWA UPANDE WA ZANJ, MAKUNDUCHI, MCHAMBAWIMA, DOLE.
 
uko sawa kabisa mkuu, kula tano!
Tatizo ni kwamba jamaa wa serikalini sijui wanakurupuka??
Wanashindwa kuelewa kila kukicha magari yanaongezeka, ilitakiwa waelewe kwamba wanahitaji kuweka system ambayo namba zitakaa kwa muda mrefu zaidi bila kubadili system.
Sasa twende kimahesabu hapa chini:
Herufi a-z ziko 26
namba wanasajili kuanzia 101-999=(999-100)=898

kwahiyo kwenye herufi 3, yaani t 666 uke kutakua na
26*26*26*898= 15,783,248

sijajua takwimu za magari tuliyonayo kwa sasa, lakini dalili zinaonyesha hii system haitafikisha miaka 10 tangu sasa kua full.
Hali itakua mbaya kwa zanziberi wao ndo wamepunguza
z 666 uk!!

Ila kwenye hizi herufi zile zote zinazofanana na namba hazihusishwi, mfano i, o
sipati picha gari liwe na namba hii t 666 ccm ligongane uso kwa uso na lingine lenye namba t 999 cuf, duh itakua balaa. (joke)
icon10.gif
icon10.gif


hesabu yako haiko sawa mkuu, hebu rudi tena kwenye macalculation yako ya mafactorial, set, milinganyo, na sequence and series bila kusahahu probability na logic,
ukitatizika ntakusaidia
 
hesabu yako haiko sawa mkuu, hebu rudi tena kwenye macalculation yako ya mafactorial, set, milinganyo, na sequence and series bila kusahahu probability na logic,
ukitatizika ntakusaidia

Hata mimi nilidhani jibu litapatika kwa vitu kama combination n permutation na siyo hesabu rahisi ya darasa la 5. Ila BAM (basic applied maths) yangu imekaa vibaya hadi nikachungulie kwanza (nipate desa).
 
Tatizo si mfumo kwani zitakapokwisha hizi za T ###LLL bado inaweza ikageuzwa kuwa TLLL### na kutumia combination nyingine. Tatizo langu ni kumpa mtu mmoja tu kazi ya kuandika hivyo vibao. Maoni ya ngu n i kuwa hili ni swala la TBS kuweka standard sizes za herufi, vibao na material na kuacha soko lifanye kazi yake. Fikiria ni wat wangapi ambao wamenyang'anywa tonge kwa tenda hii? Niko ughaibununi namba plate unachongesha kwa keymaker ukiwa na makaratasi halali ya kusajiri. Kama ilikuwa swala la usalama, mbona polisi kila siku wanakamata magari ya majambazi yakiwa na namba fake za Masasai? Hii tenda ifutwe na wigo upanuke. Ahadi ya CCM ni kuongeza ajira na si kubana kwa visingizio visivyo na mantiki kiusalama wala teknologia
 
Si Masasi ni percentile tactics na jinsi ya kukaba fedha za kustaafu! We vipi aisee!!
 
Wanamkeka,

Huu mfumo wa kusajiri namba za magari Tanzania wa sasa una maantiki kweli? Una ubora na manufaa zaidi ya ule wa awali uliokuwa unatambulisha magari kwa maeneo yatokako kama ARS, SHY, MBY, MZA, UF n.k? Mbona ktk nchi zilizoendelea namba zao zipo ktk huo mfumo tuliouacha?

Siku hizi naona kuna namba eti BAD!? n.k Hebu tujadili labda tutasaidia kwa mawazo kwa hao waamua mambo wetu TZ. Kuna gari nimekataa kununua lina namba ya ajabu.....
Mfumo huu hauna tatizo kwa maana ukihitaji kujua gari huu ni ya wapi utapata jibu kwenye mtandao wa TRA.
 
Cheki hii sasa, Majina ya mawaziri wa nchi za wenzetu. Mr DAVID KINEMBE ( Miundo Mbinu KENYA) James Kakuma ( Biashara ZAMBIA) Akaja Akatomba ( NISHAT GHANA) Nalia na MBOO ( SHERIA BOTSWANA) Antoine Chipumbu ( Fedha Msumbiji) Chilambo Kafirwa ( Mazingira Malawi) Rozia Kamkundu ( Kilimo Zimbabwe) Jaqueline Natombeka ( Utamaduni South) Kazakuku Firafisi (Mipango Japan).
 
Cheki hii sasa, Majina ya mawaziri wa nchi za wenzetu. Mr DAVID KINEMBE ( Miundo Mbinu KENYA) James Kakuma ( Biashara ZAMBIA) Akaja Akatomba ( NISHAT GHANA) Nalia na MBOO ( SHERIA BOTSWANA) Antoine Chipumbu ( Fedha Msumbiji) Chilambo Kafirwa ( Mazingira Malawi) Rozia Kamkundu ( Kilimo Zimbabwe) Jaqueline Natombeka ( Utamaduni South) Kazakuku Firafisi (Mipango Japan).

Hi tena kali? Hayo majina yakisomwa kwenye taarifa ukiwa na MKWE itakuwaje?
 
Back
Top Bottom