Kaniki1974
JF-Expert Member
- Dec 2, 2008
- 352
- 22
Wanamkeka,
Huu mfumo wa kusajiri namba za magari Tanzania wa sasa una maantiki kweli? Una ubora na manufaa zaidi ya ule wa awali uliokuwa unatambulisha magari kwa maeneo yatokako kama ARS, SHY, MBY, MZA, UF n.k? Mbona ktk nchi zilizoendelea namba zao zipo ktk huo mfumo tuliouacha?
Siku hizi naona kuna namba eti BAD!? n.k Hebu tujadili labda tutasaidia kwa mawazo kwa hao waamua mambo wetu TZ. Kuna gari nimekataa kununua lina namba ya ajabu.....
Huu mfumo wa kusajiri namba za magari Tanzania wa sasa una maantiki kweli? Una ubora na manufaa zaidi ya ule wa awali uliokuwa unatambulisha magari kwa maeneo yatokako kama ARS, SHY, MBY, MZA, UF n.k? Mbona ktk nchi zilizoendelea namba zao zipo ktk huo mfumo tuliouacha?
Siku hizi naona kuna namba eti BAD!? n.k Hebu tujadili labda tutasaidia kwa mawazo kwa hao waamua mambo wetu TZ. Kuna gari nimekataa kununua lina namba ya ajabu.....