Namba za Magari TZ

Kaniki1974

JF-Expert Member
Dec 2, 2008
352
22
Wanamkeka,

Huu mfumo wa kusajiri namba za magari Tanzania wa sasa una maantiki kweli? Una ubora na manufaa zaidi ya ule wa awali uliokuwa unatambulisha magari kwa maeneo yatokako kama ARS, SHY, MBY, MZA, UF n.k? Mbona ktk nchi zilizoendelea namba zao zipo ktk huo mfumo tuliouacha?

Siku hizi naona kuna namba eti BAD!? n.k Hebu tujadili labda tutasaidia kwa mawazo kwa hao waamua mambo wetu TZ. Kuna gari nimekataa kununua lina namba ya ajabu.....
 
Kaka mfumo unamaana kubwa sana!!!
  • Centralization
  • Consolidation
  • One registry.
  • One database.
  • Improved effieciency
  • easy Curb taxi defaulters
  • eliminate unnecessary resource redundancy
Siku njema.
 
Sijaelewa,

Centralisation ilhali move ya nchi kwa sasa ni decentralisation? Angalia Local govt reform/decentralisation programme kwa mfano n.k

Hayo mengine uliyoorodhesha mkuu yatarahisisha mambo pale watu wote wa TZ watakapomiliki magari? Think of 80m car owners for example? I can't understand....

Thanks, anyway.
 
Aliyebuni hizo numba hakuona mbali au hakujali herufi kama T 666 UKE
na nyingine za aina hiyo.
 
T 666 BOO
T 666 BUM
T 666 ASS...etc!

Poleni sana mtazoea tu, tatizo lililopo hapa ni mfumo mawazo, mindset. Msipende kukaa bongo tu, jaribu kutembea tembea mfike mpaka Japan mtakutana na watu wanaitwa Takauchi, mji unaitwa Kumamoto n.k. Lakini zaidi ni unafiki tu kwa sababu huko Uchaggani majina ya aina hii yapo na wapi kule Morogoro yanakotoka matunda mengi, tajeni wenyewe panaitwaje, mbona hampati kigugumizi kutamka, lo, acheni mfumo ufanye kazi!
 
Poleni sana mtazoea tu, tatizo lililopo hapa ni mfumo mawazo, mindset. Msipende kukaa bongo tu, jaribu kutembea tembea mfike mpaka Japan mtakutana na watu wanaitwa Takauchi, mji unaitwa Kumamoto n.k. Lakini zaidi ni unafiki tu kwa sababu huko Uchaggani majina ya aina hii yapo na wapi kule Morogoro yanakotoka matunda mengi, tajeni wenyewe panaitwaje, mbona hampati kigugumizi kutamka, lo, acheni mfumo ufanye kazi!


Mkuu umeuwa. Teh Teh Teh!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Kila chenye uzuri basi na ubaya upo. Mimi naona mfumo huu wa namba una manufaa zaidi kwa nchi kuliko hasara
 
badilini fikra tu,haya mambo ya mat...si katika hizo plate number si kitu muhimu mfumo unaeleweka.
 
Matombo morogoro na hombolo dododma

Sidhani kama muungano wa herufi una matatizo labda wakati wa kutamka. Hata hivyo hakuna anayetegemewa kutamka namba za gari kama neno bali herufi moja moja. Kwa hilo sioni tatizo. Ningepata taabu kama huo mfumo hauwezi ki-mahesabu (combination and permunations - kwa wale waliotia mguu ndani ya BAM) hauwezi kukabiliana na idadi kubwa ya magari. Ila kwa kuwa tuna herufi 26 na namba 10 wataalamu wanaweza kutueleza idadi ya magari tunayoweza kusajili kwa kutumia namba tatu na herufi tatu kwa wakati mmoja. Vinginevyo hata tukibadili huu utaratibu tutakumbana na tatizo jingine!
 
Poleni sana mtazoea tu, tatizo lililopo hapa ni mfumo mawazo, mindset. Msipende kukaa bongo tu, jaribu kutembea tembea mfike mpaka Japan mtakutana na watu wanaitwa Takauchi, mji unaitwa Kumamoto n.k. Lakini zaidi ni unafiki tu kwa sababu huko Uchaggani majina ya aina hii yapo na wapi kule Morogoro yanakotoka matunda mengi, tajeni wenyewe panaitwaje, mbona hampati kigugumizi kutamka, lo, acheni mfumo ufanye kazi!

...mmmm, nahisi kama umedandia Treni kwa mbele, Mkuu! Ni bahati tu kuwa treni lenyewe ni TRL halina saa maalumu ya kuondoka na hivyo umeweza kusalimika bila kukanyagwa! :D

Nia yangu ya kuorodhesha hizo namba ilikuwa ni kumuuliza tu mdau aliyeshangaa namba ya UKE atafanya nini akiona kama hizo nilizoorodhesha!


labda tu nikupe kidogo mwanga kuwa unapotoa mfano kuwa Japani kuna watu wanaitwa Takauchi na Kumamoto mfano wako unakosa hoja kwa mantiki kwamba huko Japani majina hayo yanaweza kuwa na maana ya 'Mwenye Bahati' ama 'Aliyezaliwa Jioni' lakini mtu huyo huyo akija nchini na kujitambulisha hivyo hakuna atakayecheka lakini ukweli ni kwamba baadae watu wanaweza kulidiscuss lightly kama vile vile ambavyo watafanya Mtanzania mwenzao akijiintroduce kuwa anaitwa Mr Kumamoto! :D


Na kuyajua haya si lazima 'kutembea tembea hadi Japan'. Kuhudhuria tu shule ya msingi hapa hapa nyumbani bila kuogopa umande inatosha, Mkuu! :mad:
Kujua wa-Mongolia wanavyoishi si lazima ukakae kwenye milima yao, ama?
 
Hii habari nzima ilishawahi kujadiliwa hapa kwa mapana na marefu angalia hapa na ikaendelea kupewa uzito katika bandiko hili.

Zaidi bandiko hili litaishia kule kwenye jokes-udaku na gossips!
 
Hii habari nzima ilishawahi kujadiliwa hapa kwa mapana na marefu angalia hapa na ikaendelea kupewa uzito katika bandiko hili.

Zaidi bandiko hili litaishia kule kwenye jokes-udaku na gossips!

It's unfortunate majadiliano yanaelekea zaidi kwenye ze usweet type. Muhimu ni kujua kama mfumo huu wa sasa unarahisisha ku trace magari na kuyatambua kwa urahisi zaidi ya mfumo wa majimbo unaotumika zaidi duniani.... nadhani...

Hiyo avatar kwi kwi kwiiii......
 
Sidhani kama muungano wa herufi una matatizo labda wakati wa kutamka. Hata hivyo hakuna anayetegemewa kutamka namba za gari kama neno bali herufi moja moja. Kwa hilo sioni tatizo. Ningepata taabu kama huo mfumo hauwezi ki-mahesabu (combination and permunations - kwa wale waliotia mguu ndani ya BAM) hauwezi kukabiliana na idadi kubwa ya magari. Ila kwa kuwa tuna herufi 26 na namba 10 wataalamu wanaweza kutueleza idadi ya magari tunayoweza kusajili kwa kutumia namba tatu na herufi tatu kwa wakati mmoja. Vinginevyo hata tukibadili huu utaratibu tutakumbana na tatizo jingine!

uko sawa kabisa mkuu, kula tano!
tatizo ni kwamba jamaa wa serikalini sijui wanakurupuka??
wanashindwa kuelewa kila kukicha magari yanaongezeka, ilitakiwa waelewe kwamba wanahitaji kuweka system ambayo namba zitakaa kwa muda mrefu zaidi bila kubadili system.
sasa twende kimahesabu hapa chini:
herufi A-Z ziko 26
namba wanasajili kuanzia 101-999=(999-100)=898

kwahiyo kwenye herufi 3, yaani T 666 UKE kutakua na
26*26*26*898= 15,783,248

sijajua takwimu za magari tuliyonayo kwa sasa, lakini dalili zinaonyesha hii system haitafikisha miaka 10 tangu sasa kua full.
hali itakua mbaya kwa Zanziberi wao ndo wamepunguza
Z 666 UK!!

ila kwenye hizi herufi zile zote zinazofanana na namba hazihusishwi, mfano I, O
sipati picha gari liwe na namba hii T 666 CCM ligongane uso kwa uso na lingine lenye namba T 999 CUF, duh itakua balaa. (joke)
icon10.gif
icon10.gif
 
Last edited:
uko sawa kabisa mkuu, kula tano!
tatizo ni kwamba jamaa wa serikalini sijui wanakurupuka??
wanashindwa kuelewa kila kukicha magari yanaongezeka, ilitakiwa waelewe kwamba wanahitaji kuweka system ambayo namba zitakaa kwa muda mrefu zaidi bila kubadili system.
sasa twende kimahesabu hapa chini:
herufi A-Z ziko 26
namba wanasajili kuanzia 101-999=(999-100)=898

kwahiyo kwenye herufi 3, yaani T 666 UKE kutakua na
26*26*26*898= 15,783,248

sijajua takwimu za magari tuliyonayo kwa sasa, lakini dalili zinaonyesha hii system haitafikisha miaka 10 tangu sasa kua full.
hali itakua mbaya kwa Zanziberi wao ndo wamepunguza
Z 666 UK!!

ila kwenye hizi herufi zile zote zinazofanana na namba hazihusishwi, mfano I, O
sipati picha gari liwe na namba hii T 666 CCM ligongane uso kwa uso na lingine lenye namba T 999 CUF, duh itakua balaa. (joke)
icon10.gif
icon10.gif

Nasikia pia mchoraji wa hizo namba na mmoja- masasi signs- sijui anapatikana kila mwaka kwa kufuata sheria ya Manunuzi ya umma, au kifisadifisadi?...sina hakika. Mwenye data pse....
 
Umenikumbusha namba ya kwentu DO it was very good numbers jamani esp zile za ZNZ zanzibar nzuri zamani lol....hey hata zile za zamani zingeweza kuwekwa kwenye data base na zilikuwa na maana zaidi

Point ni kuwa:

Namba mpya ni mradi wa wakubwa hivi nani anaruhusu kugusa mradi wa munene.....atapingwa mutu humu...heheh ipo siku tutaambiwa tunatakiwa tubasilishe majina yetu tutumie mapya yatakayowekwa kwenye data base pale rita it doesnt make sense hata za zamani zingeingia kwenye data base muwe mnafikiria out of the box nimeimiss sana JF I think baada ya kuwa naangalia tu nitaanza kuchangia...
 
Back
Top Bottom