mkanda tumboni
Member
- Jun 7, 2017
- 94
- 149
- Thread starter
- #61
swadakta mkuu kuna nilikua sijaelewaMbona wengine wanaipata..!? Shida inakua tu pale kwenye ku receive whatsapp call kwenye primo....
swadakta mkuu kuna nilikua sijaelewaMbona wengine wanaipata..!? Shida inakua tu pale kwenye ku receive whatsapp call kwenye primo....
Poa... Mafanikio mema.swadakta mkuu kuna nilikua sijaelewa
Amna lolote mkuu lbda km unaitumia kwania mbaya tu myb utapel nn..ukikamatwa ndo shida bt kukamatwa ni easy tu mbnAngalia usije tafutwa na wana intelijensia yaka kukuta kama wakina roma
Eeh we komaa.hpo kuwa mjanja angaika nayo hpo.. mi mara kwanza kujiungaga hii ..ilinichukua 2days mpk kukamilisha hasa kupata verification code kutoka.primo wenyewe..so angaika nayo fata maelekezo inayokuwambiaokay mkuu hapa nimekuelewa vyema sasa..shukrani kwa vichwa panzi wenzangu ambao hatukuelewa najua wengine waliminya kimy
poa chief pamoja sana ntaleta mrejesho.USA namba hahaaa soon nakwea pipa kama nyani ngabuEeh we komaa.hpo kuwa mjanja angaika nayo hpo.. mi mara kwanza kujiungaga hii ..ilinichukua 2days mpk kukamilisha hasa kupata verification code kutoka.primo wenyewe..so angaika nayo fata maelekezo inayokuwambia
ni kama wewe unavyovaa nguo za china wakati za tanzania zipo.unavaa za china for what ?Kwa nini ufanye hivyo!
For what?
ushamba ni maishaUshamba huu duh
ushamba ni maisha
hebu ficha roho ya kimaskini mkuu.kipi cha mzungu amacho hutumii?tv,cm,radio,computer.Umeshawah ona mzungu mwenye hela anatamani kua mweusi au kua na codenumber ya Tanzania?
wew unae uza akili una5000 tuu babu siunajua maisha yenyew yashakua magumu, sio ya marekani tuu hata ya india fresh tuu
Nawew uza hata tako ukipenda.. mazafantazzwew unae uza akili una
Imatake tym mpk call uipate pia network ya hal ya juu inahitaj..so jaribu mara kwa mara. Afu wakat unasubiria iyo call kuwa attention na pen na karatac maana ikiingia call ukiipokea saut ya dem inaanza kukutajia your verification code afu yuko fasta kitajs na anatumia.english kutaja nambaMm nishaipata, ila hapa kwenye call ndio inakataaa kabisa
UPDATES......Download app moja ivi inaitwa "primo" kutoka play store kisha fanya ku register account then after confirmation kuna namba utapewa pale ya USA ichukue na uicopy pembeni... Aya fungua whatsapp yako na kwenye kuingiza namba eka country code ya USA ambayo inaanzaga na +1 ____ ikifuatia na namba husika za nchi hiyo ivo baada ya kuselect io code eka sa iyo namba ya USA ulotoa kwenye primo....... Ila kumbuka kwenye kuconfirm whatsapp codes chagua "Call" whatsapp itapga kule kwenye primo.... na ustumie kutumiwa codes kwa"SMS" course hutoipata io text ilio na codes ndio maana nmekuambia chagua by "CALL" kisha endelea na usajili as normal mkuu......
Swali la kizushi... Mkuu kwann ustumie tu No. Yako ya kawaida mpaka unataka ya USA...!?
Download app moja ivi inaitwa "primo" kutoka play store kisha fanya ku register account then after confirmation kuna namba utapewa pale ya USA ichukue na uicopy pembeni... Aya fungua whatsapp yako na kwenye kuingiza namba eka country code ya USA ambayo inaanzaga na +1 ____ ikifuatia na namba husika za nchi hiyo ivo baada ya kuselect io code eka sa iyo namba ya USA ulotoa kwenye primo....... Ila kumbuka kwenye kuconfirm whatsapp codes chagua "Call" whatsapp itapga kule kwenye primo.... na ustumie kutumiwa codes kwa"SMS" course hutoipata io text ilio na codes ndio maana nmekuambia chagua by "CALL" kisha endelea na usajili as normal mkuu......
Swali la kizushi... Mkuu kwann ustumie tu No. Yako ya kawaida mpaka unataka ya USA...!?
Mkuu hiyo link imegoma kufunguka na whatsapp inagoma kunipa verification codes kutoka primoUPDATES......
Kwa kua Primo kwa sasa inasumbua wengi, hasa hasa pale kwenye kupata verification codes.....kwa sasa unaeza tumia alternative app kama hii click hapa kui download>>>>>> http://dl.apk20.com/download.php?app_id=365394
Ukimaliza.... Endelea na usajili ndani yake kama ilivo kwenye primo.....