Masulupwete
JF-Expert Member
- Feb 15, 2012
- 2,366
- 2,437
Wadau kuna namba ya simu nimekuwa nikipiga kwa muda mrefu sasa najibiwa na sauti ya customer care "Namba imefungiwa".
Nimejiuliza sana hii ina maana gani? Je itakuwa mwenye namba amefanya kosa na kufungiwa asiwasiliane au kaniblock nisimpate hewani?
Msaada twafadhali.
Nimejiuliza sana hii ina maana gani? Je itakuwa mwenye namba amefanya kosa na kufungiwa asiwasiliane au kaniblock nisimpate hewani?
Msaada twafadhali.