Namba ya Simu Unayopiga Imefungiwa

Namba ya Simu Unayopiga Imefungiwa

Masulupwete

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2012
Posts
2,366
Reaction score
2,437
Wadau kuna namba ya simu nimekuwa nikipiga kwa muda mrefu sasa najibiwa na sauti ya customer care "Namba imefungiwa".

Nimejiuliza sana hii ina maana gani? Je itakuwa mwenye namba amefanya kosa na kufungiwa asiwasiliane au kaniblock nisimpate hewani?

Msaada twafadhali.
 
Wadau kuna namba ya simu nimekuwa nikipiga kwa muda mrefu sasa najibiwa na sauti ya customer care "Namba imefungiwa".

Nimejiuliza sana hii ina maana gani? Je itakuwa mwenye namba amefanya kosa na kufungiwa asiwasiliane au kaniblock nisimpate hewani?

Msaada twafadhali.


Hata nawe waweza kuzuia namba yako isipatikane hewani. Ingiza *35*0000# kisha piga

Ila sijui baba lao wanatuia code zipi
 
Amefunga mwenyewe tu nasio wewe tu usimpate ila woote hawampati

Sio kweli mkuu. Provider hawezi kukuambia namba imefungiwa wakati mteja mwenyewe amieiblock hewani. Kwa kawaida watakwabia "mteja unayepigia hapatikani, jaribu baadaye". Kufunga namba wanafunga wenyewe kama kuna sababu labda matumizi mabaya au namba kutotumika kwa muda mrefu.
Mimi pia laini za vodacom na tigo zote zimefungiwa naambiwa niwasiliane na customer care. Sijazirecharge muda mrefu, mambo ya crossnetwork bundles hayo.
 
Sio kweli mkuu. Provider hawezi kukuambia namba imefungiwa wakati mteja mwenyewe amieiblock hewani. Kwa kawaida watakwabia "mteja unayepigia hapatikani, jaribu baadaye". Kufunga namba wanafunga wenyewe kama kuna sababu labda matumizi mabaya au namba kutotumika kwa muda mrefu.
Mimi pia laini za vodacom na tigo zote zimefungiwa naambiwa niwasiliane na customer care. Sijazirecharge muda mrefu, mambo ya crossnetwork bundles hayo.

Mkuu jaribu kuweka cod hizo hapo alizoweka jamaa hapo juu halafu chukua sim uipige namba yako usikie utajibiwa nini
 
Sio kweli mkuu. Provider hawezi kukuambia namba imefungiwa wakati mteja mwenyewe amieiblock hewani. Kwa kawaida watakwabia "mteja unayepigia hapatikani, jaribu baadaye". Kufunga namba wanafunga wenyewe kama kuna sababu labda matumizi mabaya au namba kutotumika kwa muda mrefu.
Mimi pia laini za vodacom na tigo zote zimefungiwa naambiwa niwasiliane na customer care. Sijazirecharge muda mrefu, mambo ya crossnetwork bundles hayo.
ni kweli mkuu mtu akiweka hizo code lazima provider akwambie hivyo kuwa namba imefungiwa hata me nawekaga nikiona pipo wananisumbua
 
Hata nawe waweza kuzuia namba yako isipatikane hewani. Ingiza *35*0000# kisha piga

Ila sijui baba lao wanatuia code zipi

mi nataka nifungie watu baadh,bt natumia nokia usher,haina kipengele cha kublock
 
Back
Top Bottom