HOJA Tume ya Utumishi wa Umma namba za simu na email hazifanyi kazi. Je hamlijui hilo?

HOJA Tume ya Utumishi wa Umma namba za simu na email hazifanyi kazi. Je hamlijui hilo?

Hoja ya Mdau inayopendekeza maboresho au mabadiliko ndani ya jamii, inayotakiwa kuangakiwa kwa mapana na Mamlaka husika

HAKI KWA WOTE

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2022
Posts
2,730
Reaction score
2,338
Habarini,

Nimekuwa nikifuatilia na kuhakiki mawasiliano mbalimbali ya taasisi muhimu za serikali ikiwemo Tume ya Utumishi wa Umma na kukuta hazifanyi kazi kwa muda mrefu pasipo kufanyiwa marekebisho wala uhakiki.

Inakuwaje Taasisi nyeti kama hii inashindwa kuhakiki njia za mawasiliano yake ili kuwapa unafuu watumishi wanaotaka hiduma zao kwa haraka?

Viongozi wa tume hii hawalioni hili kweli,namba za simu na email hizo hapo hazifanyi kazi kwa mida mrefu sana na wao wametulia tu huku wakipokea mishahara yao kuwa wako kazini.

2026_06_08_15.31.54.png
2026_06_08_15.23.07.png
 
Back
Top Bottom