Namba hii ina maana gani? 1.6180339887.

The Golden ratio ni moja wapo ya namba za siri sana kati ya namba zinazohusishwa kama code ya kufungulia gate way to high power centre worlds ambayo ndo msingi wa universal conciousness kwa kila kiumbe yoyote duniani..

Golden ratio ni namba yenye thaman ya 1.618

Namba hii hupatikana kupitia sequence ya Fibanacci ambayo iligunduliwa au ilifanyika kuwepo baada ya mwitaliano Leonardo Fibonacci ambaye alikuwa ni bingwa wa Mathematics kutoka huko Republic of Pisa..

Inasemekana kuwa Leonardo from Pisa ( Fibonacci) ni miongoni mwa watu waliopewa usiri mkubwa sana na kanisa katoriki kupewa misahafu iliyokuwa inaelezea how creation of the universe was,is and how will continue to be..

Ilikuwa ni bahati ya ajabu sana kuaminika na kupewa upenyo wa kusoma na kuinterprete hidden doctrines ambazo zilikuwa zinaelezea jinsi ulimwengu ulivyoumbwa kufuatana na mpangilio wako...karibia wanasayanci wakubwa wote hasa kina Michael faraday( ambaye ndo mwanasayansi ndezi aliekimbia darasani kwa umbumbumbu lakini anageuka kuwa geniuzi mkubwa baada ya kusoma the golden ratio na kujikuta akiwa mtabe wa umeme) lakini pia kina Nikola tesla,Michaelangelo,Johanes Kepler ,kina Gallileo,Raphael,Isaac Newton,Guy lusac na wengine kibao wenye IQ kuanzia 150 walipata fursa hiyo ya kuelewa Golden ratio make unaambiwa Golden Ratio ndo msingi wa knowlege yote..


kwa hiyo kijana huyo Fibonacci ndo akamua kuintreprete code ambayo ndo msingi pekee unaofungua gate way ya concious na knowlege ya kila kitu...

code hiyo ni 1.618


Jinsi inavyopatikana ni katika mazingira ambayo sio kama tunavyofikiria na siyo kwa jinsi ilivyopatikana ila imeoneshwa tu kupotia fibonacci number..

tazama fibonacci sequence inayoanza kwa
1,1,2,3,5,8,13,,21,34,55,89,144,233,377,610,987,1597,2584........jiulize hivi unawezaje kubuni sequence ambayo ikuletee kitu cha kushangaza..?


jinsi sequence ilivyopatikana ni kwa mfumo wa fibonacci mwenyewe ( sitaielezea hapa) but imepatikana kwa utabe flani..

Kwa hiyo sasa ukichukua ratio ya kila namba mbili mbili zinazofuatana kwenye fibonacci sequence unapata jibu la 1.618

Mfn: japo majibu yanaanza kwa moja lakini badae inaremain constant 1.618 na hiyo ratio ndo tunaipa jina la Phi au Pi na kufikiwa kupewa jina la Golden ratio manake ni namba ya bahati ambayo inapatikana kwa kugawanya namba mbili zinazofuatana...



Namba hii ina maana gani???


Kuna usiri mkubwa sana juu ya namba hiyo ...
japo usiri wake hauwezi kuwekwa wazi kwani ndo product ya kila mambo yote yanayotokea hapa dunia..

Kila tukio linalotokea duniani japo wew unasema mungu ndo kapanga lakini wenye kujua namna namba hiyo inavyofanya kazi ndo wanaoratibu matukio yote kwa kutumia Golden ratio number 1.618

Kuna nadharia mbali mbali zinazojaribu kuelezea utumizi juu hiyo namba hiyo lakini mambo yanabaki kuwa siri..

Inasemekana kuwa Leonardo Da vinci alichora ile picha ya Mona lisa kwa kutumia Golden ratio number( yani dimension za ile picha zimetumia golden ratio number),wengine wanasema majengo yote makubwa including the churches, gland lodges za free masonry zinajengwa kwa kufuata mwongozo wa golden ratio number ili kupata dimension maalumu.

Mara documentary zingine zinasema ukiweze kujua jinsi Inavyofanya kazi utaweza kufungua jicho la tatu la nafsi( Third eye of the horus) na kukufanya uingie another dimension of knowelge na kujikuta unapata maarifa mengi snaa..

Baadhi ya documentary pia zinasema kuwa Golden ratio number ndo namba ambayo inacontrol life process ya mambo yote dunian..yani ukuaji wa viumbe vyote dunian vinakuwa kwa ratio ya 1.618 katika spiral shape ( tazama picha chini)



yani et vitu vinazaliana kwa factor 1.618 ratio kutoka kitu kingine( au kutoka ububwa flani kwenda ukubwa flani kwa factor control ya namba hiyo)

lakini bado kuna usiri mkubwa sana juu ya matumizi ya hiyo number japo kundi lenye kujua zaidi ni secret societies( Illuminat na free masonry)

inasemekana lakini kuwa et kupitia namba hiyo unaweza ukaprogram mambo yako yakafika sehemu kubwa zaid ila kwa factor 1.618 lakini pia bado baadhi ya documentary zingine zinasema kuwa golden ratio ni number inayosyncronise human mind to higher universal conciousness( God) na kumfanya mtu ajue namna ya kuzitawala universal laws..



Mara baadhi ya documentary zinasema kuwa hiyo number itakufanya uformulate aina flani ya alama na maumbo ambayo kimsingi ndo vitu vinavyovuta nguvu toka dark world na kukufanya uwe directly connected to superconcious ability

Lakini pia tunamwona Nikola Tesla akitumia namba tatu tu ,ambazo ni 3,6 na 9 kama alternative ya Golden ratio number lakini anakosa kuzitolea maelezo jinsi namba hizo zinakufanyaje mpaka uwe na uwezo mkubwa sana wa kusynchronize na higher world...

Kiukweli binafsi naomba niconclude tu kuwa hakuna mtu atayekuja tokea aje kutoa usiri mkubwa juu ya Golden ratio number unless he or she is a member of secret societies na ukishatoa siri juu ya hiyo namba sijui kama utaendelea kusurvive make unakuwa kwenye mind control ya wale watu...

lets continue finding the solution of this important number ever that explains the original as well as how the universe processes everything..

Inasemekana kuwa et every posibility ya kitu chochote ipo kupitia hiyo number so ukiijua umetoboa na wenye dunia hii ndo wanaijui vizuri


..japo kuna matumizi ya kubrainwash mind za watu eti ndo inayotumika kudesigh ramani na majengo makubwa unayoyaona hapa duniani..wengine wanakwambia Golden ratio inatumika kubring alternative ya kila technologia unayoiona....any way inaweza ikawa kweli make daaah...

Swala la kusema ukweli uwekwe wazi itakuwa ngumu sana kwani ulimwengu unaendeshwa kupitia code za Golden ratio number that have been hidden since then and will continue to be hidden milele na milele mpaka uwe kwenye secret societies ndo utaujua ukweli wote..
Conspiracy theory at best!
 
The Golden ratio ni moja wapo ya namba za siri sana kati ya namba zinazohusishwa kama code ya kufungulia gate way to high power centre worlds ambayo ndo msingi wa universal conciousness kwa kila kiumbe yoyote duniani..

Golden ratio ni namba yenye thaman ya 1.618

Namba hii hupatikana kupitia sequence ya Fibanacci ambayo iligunduliwa au ilifanyika kuwepo baada ya mwitaliano Leonardo Fibonacci ambaye alikuwa ni bingwa wa Mathematics kutoka huko Republic of Pisa..

Inasemekana kuwa Leonardo from Pisa ( Fibonacci) ni miongoni mwa watu waliopewa usiri mkubwa sana na kanisa katoriki kupewa misahafu iliyokuwa inaelezea how creation of the universe was,is and how will continue to be..

Ilikuwa ni bahati ya ajabu sana kuaminika na kupewa upenyo wa kusoma na kuinterprete hidden doctrines ambazo zilikuwa zinaelezea jinsi ulimwengu ulivyoumbwa kufuatana na mpangilio wako...karibia wanasayanci wakubwa wote hasa kina Michael faraday( ambaye ndo mwanasayansi ndezi aliekimbia darasani kwa umbumbumbu lakini anageuka kuwa geniuzi mkubwa baada ya kusoma the golden ratio na kujikuta akiwa mtabe wa umeme) lakini pia kina Nikola tesla,Michaelangelo,Johanes Kepler ,kina Gallileo,Raphael,Isaac Newton,Guy lusac na wengine kibao wenye IQ kuanzia 150 walipata fursa hiyo ya kuelewa Golden ratio make unaambiwa Golden Ratio ndo msingi wa knowlege yote..


kwa hiyo kijana huyo Fibonacci ndo akamua kuintreprete code ambayo ndo msingi pekee unaofungua gate way ya concious na knowlege ya kila kitu...

code hiyo ni 1.618


Jinsi inavyopatikana ni katika mazingira ambayo sio kama tunavyofikiria na siyo kwa jinsi ilivyopatikana ila imeoneshwa tu kupotia fibonacci number..

tazama fibonacci sequence inayoanza kwa
1,1,2,3,5,8,13,,21,34,55,89,144,233,377,610,987,1597,2584........jiulize hivi unawezaje kubuni sequence ambayo ikuletee kitu cha kushangaza..?


jinsi sequence ilivyopatikana ni kwa mfumo wa fibonacci mwenyewe ( sitaielezea hapa) but imepatikana kwa utabe flani..

Kwa hiyo sasa ukichukua ratio ya kila namba mbili mbili zinazofuatana kwenye fibonacci sequence unapata jibu la 1.618

Mfn: japo majibu yanaanza kwa moja lakini badae inaremain constant 1.618 na hiyo ratio ndo tunaipa jina la Phi au Pi na kufikiwa kupewa jina la Golden ratio manake ni namba ya bahati ambayo inapatikana kwa kugawanya namba mbili zinazofuatana...



Namba hii ina maana gani???


Kuna usiri mkubwa sana juu ya namba hiyo ...
japo usiri wake hauwezi kuwekwa wazi kwani ndo product ya kila mambo yote yanayotokea hapa dunia..

Kila tukio linalotokea duniani japo wew unasema mungu ndo kapanga lakini wenye kujua namna namba hiyo inavyofanya kazi ndo wanaoratibu matukio yote kwa kutumia Golden ratio number 1.618

Kuna nadharia mbali mbali zinazojaribu kuelezea utumizi juu hiyo namba hiyo lakini mambo yanabaki kuwa siri..

Inasemekana kuwa Leonardo Da vinci alichora ile picha ya Mona lisa kwa kutumia Golden ratio number( yani dimension za ile picha zimetumia golden ratio number),wengine wanasema majengo yote makubwa including the churches, gland lodges za free masonry zinajengwa kwa kufuata mwongozo wa golden ratio number ili kupata dimension maalumu.

Mara documentary zingine zinasema ukiweze kujua jinsi Inavyofanya kazi utaweza kufungua jicho la tatu la nafsi( Third eye of the horus) na kukufanya uingie another dimension of knowelge na kujikuta unapata maarifa mengi snaa..

Baadhi ya documentary pia zinasema kuwa Golden ratio number ndo namba ambayo inacontrol life process ya mambo yote dunian..yani ukuaji wa viumbe vyote dunian vinakuwa kwa ratio ya 1.618 katika spiral shape ( tazama picha chini)



yani et vitu vinazaliana kwa factor 1.618 ratio kutoka kitu kingine( au kutoka ububwa flani kwenda ukubwa flani kwa factor control ya namba hiyo)

lakini bado kuna usiri mkubwa sana juu ya matumizi ya hiyo number japo kundi lenye kujua zaidi ni secret societies( Illuminat na free masonry)

inasemekana lakini kuwa et kupitia namba hiyo unaweza ukaprogram mambo yako yakafika sehemu kubwa zaid ila kwa factor 1.618 lakini pia bado baadhi ya documentary zingine zinasema kuwa golden ratio ni number inayosyncronise human mind to higher universal conciousness( God) na kumfanya mtu ajue namna ya kuzitawala universal laws..



Mara baadhi ya documentary zinasema kuwa hiyo number itakufanya uformulate aina flani ya alama na maumbo ambayo kimsingi ndo vitu vinavyovuta nguvu toka dark world na kukufanya uwe directly connected to superconcious ability

Lakini pia tunamwona Nikola Tesla akitumia namba tatu tu ,ambazo ni 3,6 na 9 kama alternative ya Golden ratio number lakini anakosa kuzitolea maelezo jinsi namba hizo zinakufanyaje mpaka uwe na uwezo mkubwa sana wa kusynchronize na higher world...

Kiukweli binafsi naomba niconclude tu kuwa hakuna mtu atayekuja tokea aje kutoa usiri mkubwa juu ya Golden ratio number unless he or she is a member of secret societies na ukishatoa siri juu ya hiyo namba sijui kama utaendelea kusurvive make unakuwa kwenye mind control ya wale watu...

lets continue finding the solution of this important number ever that explains the original as well as how the universe processes everything..

Inasemekana kuwa et every posibility ya kitu chochote ipo kupitia hiyo number so ukiijua umetoboa na wenye dunia hii ndo wanaijui vizuri


..japo kuna matumizi ya kubrainwash mind za watu eti ndo inayotumika kudesigh ramani na majengo makubwa unayoyaona hapa duniani..wengine wanakwambia Golden ratio inatumika kubring alternative ya kila technologia unayoiona....any way inaweza ikawa kweli make daaah...

Swala la kusema ukweli uwekwe wazi itakuwa ngumu sana kwani ulimwengu unaendeshwa kupitia code za Golden ratio number that have been hidden since then and will continue to be hidden milele na milele mpaka uwe kwenye secret societies ndo utaujua ukweli wote..

Mkuu hili somo ni pana sana. Kwa jinsi ulivyoeleza inaonekana upo vizuri. Sasa hapo red ungeeleza hata kidogo. Ila Ahsante
 
KWANINI UNAFIKIRI KUWA NI UONGO
Mkuu kifupi ukitaka kuijua hiyo golden ratio au zile namba za Tesla itakubidi usome na uangalie documentary nyingi sana ambazo ni za positive way ili uweze ku-crack hizo code muda huo wote utakufanya uwe pia unatoa positive results zitakazo kupeleka kwenye kufikia baadhi ya mafanikio.

Muda huo wote utakuwa unapuuzia mambo ya kijinga na kuwa na ratiba muhimu tu and in other way IQ itaongezeka tu na kufika mafanikio bila kuja kuijua hiyo ratio

Huwa hizi mambo nazichukulia kama vile mtu akikwambia soma vitabu uongeze uelewa so hata wewe ukifanikiwa utasema tu watu waijue hiyo ratio na wakikuuliza uwafafanulie hutaweza kwa sababu hata Wewe huijui

Huwa zinaongeza chachu ya utafutaji tu
 
The Golden ratio ni moja wapo ya namba za siri sana kati ya namba zinazohusishwa kama code ya kufungulia gate way to high power centre worlds ambayo ndo msingi wa universal conciousness kwa kila kiumbe yoyote duniani..

Golden ratio ni namba yenye thaman ya 1.618

Namba hii hupatikana kupitia sequence ya Fibanacci ambayo iligunduliwa au ilifanyika kuwepo baada ya mwitaliano Leonardo Fibonacci ambaye alikuwa ni bingwa wa Mathematics kutoka huko Republic of Pisa..

Inasemekana kuwa Leonardo from Pisa ( Fibonacci) ni miongoni mwa watu waliopewa usiri mkubwa sana na kanisa katoriki kupewa misahafu iliyokuwa inaelezea how creation of the universe was,is and how will continue to be..

Ilikuwa ni bahati ya ajabu sana kuaminika na kupewa upenyo wa kusoma na kuinterprete hidden doctrines ambazo zilikuwa zinaelezea jinsi ulimwengu ulivyoumbwa kufuatana na mpangilio wako...karibia wanasayanci wakubwa wote hasa kina Michael faraday( ambaye ndo mwanasayansi ndezi aliekimbia darasani kwa umbumbumbu lakini anageuka kuwa geniuzi mkubwa baada ya kusoma the golden ratio na kujikuta akiwa mtabe wa umeme) lakini pia kina Nikola tesla,Michaelangelo,Johanes Kepler ,kina Gallileo,Raphael,Isaac Newton,Guy lusac na wengine kibao wenye IQ kuanzia 150 walipata fursa hiyo ya kuelewa Golden ratio make unaambiwa Golden Ratio ndo msingi wa knowlege yote..


kwa hiyo kijana huyo Fibonacci ndo akamua kuintreprete code ambayo ndo msingi pekee unaofungua gate way ya concious na knowlege ya kila kitu...

code hiyo ni 1.618


Jinsi inavyopatikana ni katika mazingira ambayo sio kama tunavyofikiria na siyo kwa jinsi ilivyopatikana ila imeoneshwa tu kupotia fibonacci number..

tazama fibonacci sequence inayoanza kwa
1,1,2,3,5,8,13,,21,34,55,89,144,233,377,610,987,1597,2584........jiulize hivi unawezaje kubuni sequence ambayo ikuletee kitu cha kushangaza..?


jinsi sequence ilivyopatikana ni kwa mfumo wa fibonacci mwenyewe ( sitaielezea hapa) but imepatikana kwa utabe flani..

Kwa hiyo sasa ukichukua ratio ya kila namba mbili mbili zinazofuatana kwenye fibonacci sequence unapata jibu la 1.618

Mfn: japo majibu yanaanza kwa moja lakini badae inaremain constant 1.618 na hiyo ratio ndo tunaipa jina la Phi au Pi na kufikiwa kupewa jina la Golden ratio manake ni namba ya bahati ambayo inapatikana kwa kugawanya namba mbili zinazofuatana...



Namba hii ina maana gani???


Kuna usiri mkubwa sana juu ya namba hiyo ...
japo usiri wake hauwezi kuwekwa wazi kwani ndo product ya kila mambo yote yanayotokea hapa dunia..

Kila tukio linalotokea duniani japo wew unasema mungu ndo kapanga lakini wenye kujua namna namba hiyo inavyofanya kazi ndo wanaoratibu matukio yote kwa kutumia Golden ratio number 1.618

Kuna nadharia mbali mbali zinazojaribu kuelezea utumizi juu hiyo namba hiyo lakini mambo yanabaki kuwa siri..

Inasemekana kuwa Leonardo Da vinci alichora ile picha ya Mona lisa kwa kutumia Golden ratio number( yani dimension za ile picha zimetumia golden ratio number),wengine wanasema majengo yote makubwa including the churches, gland lodges za free masonry zinajengwa kwa kufuata mwongozo wa golden ratio number ili kupata dimension maalumu.

Mara documentary zingine zinasema ukiweze kujua jinsi Inavyofanya kazi utaweza kufungua jicho la tatu la nafsi( Third eye of the horus) na kukufanya uingie another dimension of knowelge na kujikuta unapata maarifa mengi snaa..

Baadhi ya documentary pia zinasema kuwa Golden ratio number ndo namba ambayo inacontrol life process ya mambo yote dunian..yani ukuaji wa viumbe vyote dunian vinakuwa kwa ratio ya 1.618 katika spiral shape ( tazama picha chini)



yani et vitu vinazaliana kwa factor 1.618 ratio kutoka kitu kingine( au kutoka ububwa flani kwenda ukubwa flani kwa factor control ya namba hiyo)

lakini bado kuna usiri mkubwa sana juu ya matumizi ya hiyo number japo kundi lenye kujua zaidi ni secret societies( Illuminat na free masonry)

inasemekana lakini kuwa et kupitia namba hiyo unaweza ukaprogram mambo yako yakafika sehemu kubwa zaid ila kwa factor 1.618 lakini pia bado baadhi ya documentary zingine zinasema kuwa golden ratio ni number inayosyncronise human mind to higher universal conciousness( God) na kumfanya mtu ajue namna ya kuzitawala universal laws..



Mara baadhi ya documentary zinasema kuwa hiyo number itakufanya uformulate aina flani ya alama na maumbo ambayo kimsingi ndo vitu vinavyovuta nguvu toka dark world na kukufanya uwe directly connected to superconcious ability

Lakini pia tunamwona Nikola Tesla akitumia namba tatu tu ,ambazo ni 3,6 na 9 kama alternative ya Golden ratio number lakini anakosa kuzitolea maelezo jinsi namba hizo zinakufanyaje mpaka uwe na uwezo mkubwa sana wa kusynchronize na higher world...

Kiukweli binafsi naomba niconclude tu kuwa hakuna mtu atayekuja tokea aje kutoa usiri mkubwa juu ya Golden ratio number unless he or she is a member of secret societies na ukishatoa siri juu ya hiyo namba sijui kama utaendelea kusurvive make unakuwa kwenye mind control ya wale watu...

lets continue finding the solution of this important number ever that explains the original as well as how the universe processes everything..

Inasemekana kuwa et every posibility ya kitu chochote ipo kupitia hiyo number so ukiijua umetoboa na wenye dunia hii ndo wanaijui vizuri


..japo kuna matumizi ya kubrainwash mind za watu eti ndo inayotumika kudesigh ramani na majengo makubwa unayoyaona hapa duniani..wengine wanakwambia Golden ratio inatumika kubring alternative ya kila technologia unayoiona....any way inaweza ikawa kweli make daaah...

Swala la kusema ukweli uwekwe wazi itakuwa ngumu sana kwani ulimwengu unaendeshwa kupitia code za Golden ratio number that have been hidden since then and will continue to be hidden milele na milele mpaka uwe kwenye secret societies ndo utaujua ukweli wote..
Cc. Mods
Hii comment ipandishwe pale juu kwa muuliza swali
 
Zijumlishe hizo namba kwenda ... Mbele hafu zitoe kurudi nyuma ... Hafu jumlisha hiyo product .... Hiyo product utakayopata ijumlishe na kutoa kama mara ya kwanza baada ya hapo zidisha jibu ya hizo namba utakazopata
Mkuu unamaanisha product utakayokuwa umetengeneza au unamaanisha jibu baada ya kutoa na kujumlisha namba hizo?
 
Back
Top Bottom