Namba 13 ina shida gani?

Namba 13 ina shida gani?

Mbona 13? Na hizi 13 si zipo kila sehemu, shulen tulikuwa tunaandika 13, kwenye hesabu za ofisin kwangu 13 huwa siiruki, kwenye saa yangu hapa huwa hairuki 13 ndo ije 14?
Ninapoendesha gari mbona huwa haiachi kusoma km13,?mbona nyumba yetu imepewa namba 13? Mbona mimi mdogo wangu amezaliwa tar13?
Issue ni seat namba 13 kutokuepo kwenye ndege na magari?
Kwamba ukianza kuhesabu hivyo viti ukifika la 13 ndo hulioni?
Haya tuchukulie mfano, wewe umeamua kuwahesabu watu 1,2,3,4,5,6,7,8,9,10,11,12 kwahyo wa 13 unamuacha unaenda kumhesabu wa 14? Haya tuchukulie mfano namba zisingekuwa zinaandikwa kwenye seat labda watu wangekuwa wanaandika majina ya wanyama ingekuaje?
 
Na bila kusahau katika Last supper picha iliyochorwa na Da vinci kama Sikosei..
Kwenye Mlo wa mwisho wa yesu wako wanafunxi 13 na mwanafunzi wa 13 Ni YUDA iskariote
Kwanini yeye awe wa 13 walikua wanaangalia nini kwenye kuwahesabu
 
Haya Mambo Ya Imani Ukijihusisha Nayo Sana Unaanza Kuamini Kuwa Kweli.
 
Kwanini yeye awe wa 13 walikua wanaangalia nini kwenye kuwahesabu
Kwani mkuu Kwenye Latin adapted alphabetical and numerical value tunaanzia wapi?
Si tunaanzia kushoto kwenda kulia..
Labda kama ungeniambia unazungumzia Arabic l,Aramaic na Hebrew..ndo wanaanzia kulia..
Última_Cena_-_Da_Vinci_5.jpg
 
Back
Top Bottom