CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,304
- 12,997
kWANINI TUNAKUWA WEPESI WA KUFIKIA MAAMUZI YA kULIVUA pENDO? Imagine wazazi wetu wangekuwa wepesi kama kizazi hiki leo hii sisi tungekuwa wapi? Na kwanini ulikimbilia kumpa pendo lako mapema kabla ya kumfahamu vizuri alikotoka? Do you think ukishalivua Pendo huko uendako ndio mambo yatakua mazuri? Wanaume wote wana tabia moja the same to wanawake wote wana tabia hio hio moja. Kikubwa Muombe MUNGU na learn to deal with your own business.
Nakuomba sana usilivue Pendo hata kama uko na Kibaka au Jambazi
Daddy nahisi nilivalishwa!
Basi pitia hii thread ya MwanajamiiOne aliiweka hapa jamvini mwaka 2009, naye aliongelea habari kama yako na wimbo huo huo wa Mwasiti.
https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/33819-nalivua-pendo.html
teh teh kweli safari moja huanzisha nyinginePole, baada ya muda utagundua ni good riddance baada ya kumpata bora kuliko huyo kichomi.
Pole, baada ya muda utagundua ni good riddance baada ya kumpata bora kuliko huyo kichomi.
pole dear potezea mwanaume wa ukweli haitaji nguvu nyingi! kama ipo ipo kama haipo haipo ...songa mbele kwani ni nini? mtu kakukuta na meno yako 32... utaishi tu ivo hivo.
msimu wa sikukuu huu raha kweli ukiwa single ujue
Daddy nahisi nilivalishwa!
Kwa hiyo ina maana ulilazimishwa tu kupenda?
Umeona eeh, sometimes unang'ang'ana na kichomi bila kujua
Wakati kuna mtu pembeni yako he is dying to shower you with love, real love.
kWANINI TUNAKUWA WEPESI WA KUFIKIA MAAMUZI YA kULIVUA pENDO? Imagine wazazi wetu wangekuwa wepesi kama kizazi hiki leo hii sisi tungekuwa wapi? Na kwanini ulikimbilia kumpa pendo lako mapema kabla ya kumfahamu vizuri alikotoka? Do you think ukishalivua Pendo huko uendako ndio mambo yatakua mazuri? Wanaume wote wana tabia moja the same to wanawake wote wana tabia hio hio moja. Kikubwa Muombe MUNGU na learn to deal with your own business.
Nakuomba sana usilivue Pendo hata kama uko na Kibaka au Jambazi
Daddy nahisi nilivalishwa!
tatizo wazazi wetu wengi hawatuelezi ni kwanini wao hawakuvua pendo/ hawatufundishi maadili ndo maana hatuna uvumulivu jatika ndoa mkikwaruzana kidogo kila mmoja mbabe mwisho wa yote huntishi! Huyu nae huntishi ndoa inakufa.
Mimi hapa kwa jinsi ninavyomfahamu mpenzi wangu Charminglady huwa analeta mada ya masihara na baadae jioni tutakuwa wote pale Villa Park tunakula Sato..Ila Charminglady unataka kukaribisha nini wakati bado tupo wote mbona sikuelewi..
Tafadhali sema ukweli hii unachosema ni cha kweli mbona jana hukuniambia kuwa it is over???
Just thinking tu au ile hela ya X-mass na vacation ya Kwenda Zanzibar ambayo nilikwambia bado nafikiria ndio umefikia haya maamuzi..
kWANINI TUNAKUWA WEPESI WA KUFIKIA MAAMUZI YA kULIVUA pENDO? Imagine wazazi wetu wangekuwa wepesi kama kizazi hiki leo hii sisi tungekuwa wapi? Na kwanini ulikimbilia kumpa pendo lako mapema kabla ya kumfahamu vizuri alikotoka? Do you think ukishalivua Pendo huko uendako ndio mambo yatakua mazuri? Wanaume wote wana tabia moja the same to wanawake wote wana tabia hio hio moja. Kikubwa Muombe MUNGU na learn to deal with your own business.
Nakuomba sana usilivue Pendo hata kama uko na Kibaka au Jambazi
Mtumikie Mumba wako siku za ujana wako.Kwa Mungu ndiyo kuna raha ya milele na siku zote hutapungukiwa na kitu.
kWANINI TUNAKUWA WEPESI WA KUFIKIA MAAMUZI YA kULIVUA pENDO? Imagine wazazi wetu wangekuwa wepesi kama kizazi hiki leo hii sisi tungekuwa wapi? Na kwanini ulikimbilia kumpa pendo lako mapema kabla ya kumfahamu vizuri alikotoka? Do you think ukishalivua Pendo huko uendako ndio mambo yatakua mazuri? Wanaume wote wana tabia moja the same to wanawake wote wana tabia hio hio moja. Kikubwa Muombe MUNGU na learn to deal with your own business.
Nakuomba sana usilivue Pendo hata kama uko na Kibaka au Jambazi