asee king'asti jambo veve?...
Hahahahahaha King"ast usinifanye nikachukiwa na Mwasiti bure. Yeah very empowering maana nakumbuka nililotendwa siku ile asubuhi nikiwa naelekea kazini na nilipoanza kujiuliza hivi ninaganda hapa kwa kitu gani hasa, ndo Radio Clouds wakaachia hiki kipande, nikajikuta nasikiliza hadi mwisho! , by the time nashuka kwenye gari, tayari nilishaamua vya kuamua.
Tena nakumbuka siku ile niliipost ile thread asubuhi yaani kitu cha kwanza baada ya kuketi ofcn...... huku machozi yakintoka ah! Jamani alovumbua mapenzi mpeni tu sifa yake.
Afu we Da Pretty ndo nini ku-baby comisha pasts bana??
Kwani lake??????
Pretty,umepiga chiiiini au??
:washing:Hahahaha we Teamo bana. Those days bana ah!
Sasa hivi najicheka eti!
Da pretty, naamini ni wimbo tu and got nothing to do with ur story ( sipendi ku-assume aisee,lol!)
MwJ1, naona kama tukupe-copiraiti ya huu wimbo! Naupenda sana wimbo huu (sijui nna kichaa, napenda pia ule wa whitney 'do it on my own').
Its very empowering!
Hahhahhah Teamo, Teamo eti Baby Come Back mwe!! na isingekuwa JF angenicomisha Back aisee, ile timing yake ilikuwa mbaya kweli, peke yangu nisingeweza aisee.
Well unadhani kuna maexperience yoyote ya kufundishana?? hakuna aisee yaani ngoma hii ina jina moja lakini mirindimo yake ni tofauti kabisa kwa kila mchezaji.
Jambo iko babaake! Hahaha, siku hizi tunajivua gamba bana! Kwani nimemzaa mie? Ukileta za kuleta tupa kuleeee! Afu tushangae wote maghorofa ya mjini,lol!
Happy nyu yia bana!
pole mamito raha jipe mwenyewe nyingine ziada
Nani tena kisha kupiga butty.