MOSHI UFUNDI
JF-Expert Member
- Nov 25, 2022
- 501
- 1,147
Asalaam wakuu.
KUfupisha uzi.
Kwasasa kuna mahali nafanya kazi nalipwa laki 5, ila kazi inanichukulia muda mwingi sana. Ingawa nakula bure , na nalala bure(vyote nimepewa na ofisi yangu).
Umri wangu 20's.
Naomba ushauri niwekeze pesa yangu wapi ili niongeze kipato changu.
Mwanzo niliwaza nijichange ninunue pikipiki ya boda nimpe mtu aniletee hesabu , sijui kwenu imekaaje hii?
Naombeni ushauri wenye manufaa wakuu.
KUfupisha uzi.
Kwasasa kuna mahali nafanya kazi nalipwa laki 5, ila kazi inanichukulia muda mwingi sana. Ingawa nakula bure , na nalala bure(vyote nimepewa na ofisi yangu).
Umri wangu 20's.
Naomba ushauri niwekeze pesa yangu wapi ili niongeze kipato changu.
Mwanzo niliwaza nijichange ninunue pikipiki ya boda nimpe mtu aniletee hesabu , sijui kwenu imekaaje hii?
Naombeni ushauri wenye manufaa wakuu.