Mimi ninayo hisa 3500 katika CRDB na hisa 3500 ktika NMB. Leo nimepata taarifa kwenye simu ya ngu kuwa nimepata Tshs. 565,000 kama Gawio toka NMB lakini hisa hizo hizo kutoka CRDB nitapata Tshs.35,000.
Naomba sana mnielekeze utaratibu wa kuuza hisa zangu za CRDB kwasababu naona kama CRDB hawana nia na wanahisa wao.
Naomba sana mnielekeze utaratibu wa kuuza hisa zangu za CRDB kwasababu naona kama CRDB hawana nia na wanahisa wao.