Matanzia kizebazeba
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 654
- 630
Ugawaji wa gawiwo la Hisa kwa wanahisa kila kampuni inategemea na mahtaji yake kwa mwaka huo pia na kiasi ya asilimia walichojipangia kutoa kama hisa na nyingine kukirejesha kama mtaji tena yani pay out ratio na Retention ratio.
Hisa zinaweza kuuzwa bei moja zote ila kampun zinaweza kua tofaut hvyo dividends zikatofautiana sababu ya sera ya kampuni juu ya Hisa yaan dividends policy.
Thaman ya kampuni inaweza ama isiweza kua ndio thaman ya Hisa ama kuweza kujarbu kuweza kupretidct kiwango cha faida.
Unaweza kua na kiwango sawa cha hisa lakini gawiwo la faida kwa mwaka huo likawa tofauti kulingana na sera ya kampuni na hili hua linabadilika badilika ndio maana unaambiwa lazima ujiridhishe kwanza na Elimu yako kabla hujawekeza.
Ukiwa mvumilivu usishangae baada ya mwaka ama miaka kadhaa mambo yakabadilika gawiwo la NMB likashuka la CRDB likapanda hakuna fomula maalumu ila ni sera tu na mahtaji ya kampuni kimtaji mwaka huo kulingana na fursa za uwekezaji i.e investment opportunities
Hisa zinaweza kuuzwa bei moja zote ila kampun zinaweza kua tofaut hvyo dividends zikatofautiana sababu ya sera ya kampuni juu ya Hisa yaan dividends policy.
Thaman ya kampuni inaweza ama isiweza kua ndio thaman ya Hisa ama kuweza kujarbu kuweza kupretidct kiwango cha faida.
Unaweza kua na kiwango sawa cha hisa lakini gawiwo la faida kwa mwaka huo likawa tofauti kulingana na sera ya kampuni na hili hua linabadilika badilika ndio maana unaambiwa lazima ujiridhishe kwanza na Elimu yako kabla hujawekeza.
Ukiwa mvumilivu usishangae baada ya mwaka ama miaka kadhaa mambo yakabadilika gawiwo la NMB likashuka la CRDB likapanda hakuna fomula maalumu ila ni sera tu na mahtaji ya kampuni kimtaji mwaka huo kulingana na fursa za uwekezaji i.e investment opportunities