Me370
JF-Expert Member
- Mar 10, 2008
- 985
- 293
Ipo hivi,
Nlikuwa na mpenzi ambaye tuliachana muda. Mahusiano yetu yalibaki kuwa ni sex tu tena mara moja moja sana.
Binti akapata ujauzito ambao yeye alinambia mimi sio mhusika.
Juzi Kati hapa kajifungua mtoto wa kiume ambaye kwa anavyoonekna kafanana sana na mama yake.
Tatizo ni kuwa muhusika kamkana mtoto anadai sio wake ni wa mtu anayetumia namba ya simu (akataja namba yangu).
Mzazi kaacha kupewa matumizi ya mtoto kama walivyokubaliana na mshkaji kagoma Kwenda kupima DNA kwa kisingizio hana pesa ila kama akilipiwa yupo tayari.
Sasa kuna hatari ya mtoto kukosa baba na mzazi kukosa matunzo.
Badala ya mimi kumlipia yeye nimeamua nikapime.
Mimi nijitoe kwenye mzozo huu.
Nimeshakutana na jamaa na tumepanga Jumatatu.
Msaada ninaohitaji ni kuwa sijui chochote kuhusu hii test wapi inafanya na itanigharimu kiasi gani.
Mimi najiamini maana mama wa mtoto ananiongoza na kaapa na kudai haiwezekani mtoto akawa wangu. Naombeni mnisaidie kwa maswali hayo hapo juu.
Nlikuwa na mpenzi ambaye tuliachana muda. Mahusiano yetu yalibaki kuwa ni sex tu tena mara moja moja sana.
Binti akapata ujauzito ambao yeye alinambia mimi sio mhusika.
Juzi Kati hapa kajifungua mtoto wa kiume ambaye kwa anavyoonekna kafanana sana na mama yake.
Tatizo ni kuwa muhusika kamkana mtoto anadai sio wake ni wa mtu anayetumia namba ya simu (akataja namba yangu).
Mzazi kaacha kupewa matumizi ya mtoto kama walivyokubaliana na mshkaji kagoma Kwenda kupima DNA kwa kisingizio hana pesa ila kama akilipiwa yupo tayari.
Sasa kuna hatari ya mtoto kukosa baba na mzazi kukosa matunzo.
Badala ya mimi kumlipia yeye nimeamua nikapime.
Mimi nijitoe kwenye mzozo huu.
Nimeshakutana na jamaa na tumepanga Jumatatu.
Msaada ninaohitaji ni kuwa sijui chochote kuhusu hii test wapi inafanya na itanigharimu kiasi gani.
Mimi najiamini maana mama wa mtoto ananiongoza na kaapa na kudai haiwezekani mtoto akawa wangu. Naombeni mnisaidie kwa maswali hayo hapo juu.