Nakutafuta rafiki yangu Changchun yatai

Nakutafuta rafiki yangu Changchun yatai

Chibike

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2024
Posts
4,896
Reaction score
7,522
Mwanangu hata sijui uko wapi kama uko hai ama vipi, na haya masekeseke yaliyotokea , tuliachana ulikua kwenye harakati za uchimbaji madini mgodi wa mwime kahama ulikua unapambana kweli kutafuta wadau wakupe tafu mmalizie muingie zone ya madini chini, ukapotea gafla mwanangu. ..

Je uko Salama? Naamini uko Salama na pia ulifanikiwa ama ulishatoboa mwanangu kua bilionea kama chiefgodlove 😂😂😂 hii nickname yako ukiisoma utajijua ni wewe na utajua ni nani anaekuulizia 🤗 nicheki mwanangu kama upo humu.

Nashauri Active , Payge mtuwekee jukwaa maalum la kutafuta ndugu zetu marafiki zetu ambao tumepotezana nao liwe mahususi kwa ajili ya mtu kuleta taarifa yake ya kumtafuta ndugu jamaa ama rafiki aliepotea. Asante.
 
Leta picha za mazishi ikiwemo na picha yake hapa, udhibtishe Kauli yako, tofauti na hapo hizi ni habari za uzushi.

NB: usiende ku download picha za mazishi za watu, sababu namfahamu kwa sura.
Toa kwanza hela ya lambilambi siyo unaleta porojo tu hapa, mm ndo nilikuwa mwenyekiti nitawasilisha kwa familia bila tabu.
 
Toa kwanza hela ya lambilambi siyo unaleta porojo tu hapa, mm ndo nilikuwa mwenyekiti nitawasilisha kwa familia bila tabu.
Leta picha za mazishi ikiwemo na picha yake hapa, udhibtishe Kauli yako, tofauti na hapo hizi ni habari za uzushi.

NB: usiende ku download picha za mazishi za watu, sababu namfahamu kwa sura.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom