kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,793
- 5,042
Siku zote wanasema Mungu akifungua riziki zako
Akuna wakuzuia
Na riziki ya mtu ni popote tu
Nina rafiki yangu kwasasa na muona baada ya miaka kazaa mbele jamaa yangu anaweza kuwa milionea tu mzuri sio wa shilling wa dollars
Huyo rafiki yangu mwezi wa 8 alipost dawa fulani za nguvu za kiume kutoka Tanzania sijui ni dawa gani sio vumbi la Kongo ni nyingine tu ambazo una koroga ndani ya chai alafu unakunwa
Huyo rafiki yangu alavyo post dawa hizo kuzileta uku Canada kwa bahati nzuri zikafika salama
Jamaa akanipa taarifa mimi kama rafiki yake Nikaona hii ndo fursa ya kuwakomesha hawa watoto wakizungu na weusi nikaenda kuchukuwa dawa kwake yeye alinipa kwa bure baada ya kupata dawa hiyo rafiki yangu mmoja hivi wakizungu siku moja akaona na kunwa chai ya dawa hiyo akauliza kama nakunwa nini maana dawa hiyo ni chungu saana sasa aliona ninavyo finya sura nikimeza dawa hiyo nikampa tu ukweli cha ajabu na yeye akaomba nikampa alikwenda kujaribu uko jamaa akafurahia dawa hiyo akataka tena ni mpe na nyingine tena
Nikasema sina nikamwambia kuwa nina rafiki yangu mwingine ambaye anayo dawa hiyo ila Nikasema kama utani tu kuwa unatowa kwa pesa jamaa akasema nipo tayari kutowa pesa ili nipate dawa hiyo
Nikamtuma kwa huyo rafiki yangu
Nikamwambia jamaa kuwa huyu mzungu anataka dawa hiyo atakupa pesa mara ya kwanza jamaa akawa amepaniki kwanini na ambia watu nikampa tu ukweli. jamaa akakubali kutowa dawa kwa dollars 300$ za Canada alitowa vijiko 4 tu kwa dollars 300$ kumbe yule mzungu akaenda kuambia wenzake na wale wazeke nao wakambia wenzao sasa wote ndo wamejaa kwa huyo rafiki yangu
Jamaa sasa amefanya hiyo kuwa fursa amepost nyingi kutoka Afrika wazungu wengi na watu weusi wameweka order dawa ikifika tu wanapewa
Jana nilikuwa kwake kuna ambao walikuwa wanaacha dollars 1000$ ili mzigo ukifika tu wanapewa
Mpaka mimi nashangaa tu jamaa kaanza kupata pesa kama utani tu
Kwa ufupi mimi sitafuti wateja au kutepeli watu maana naona kuna watu wameanza kusema mimi nitapeli
Hii ndo shida ya watanzania anaye wapa ukweli ndo uonekana muongo na anaye wadanganya ndo uonekana mkweli
Basi changamkeni kama ndugu zetu wakenya
Ila nataka tu kuwapa ukweli kuwa kuna watu wanajua dawa hizo za ukweli na wakitumia fursa zao vizuri kutafuta wateja nje ya nchi wanawaza kupata faida
Kama huyo rafiki yangu yeye utakuta uko anachukuwa dawa hiyo kwa bei raisi ikifika uku yeye anapata faida kubwa zaidi
Na sio dawa tu vitu vingi
Akuna wakuzuia
Na riziki ya mtu ni popote tu
Nina rafiki yangu kwasasa na muona baada ya miaka kazaa mbele jamaa yangu anaweza kuwa milionea tu mzuri sio wa shilling wa dollars
Huyo rafiki yangu mwezi wa 8 alipost dawa fulani za nguvu za kiume kutoka Tanzania sijui ni dawa gani sio vumbi la Kongo ni nyingine tu ambazo una koroga ndani ya chai alafu unakunwa
Huyo rafiki yangu alavyo post dawa hizo kuzileta uku Canada kwa bahati nzuri zikafika salama
Jamaa akanipa taarifa mimi kama rafiki yake Nikaona hii ndo fursa ya kuwakomesha hawa watoto wakizungu na weusi nikaenda kuchukuwa dawa kwake yeye alinipa kwa bure baada ya kupata dawa hiyo rafiki yangu mmoja hivi wakizungu siku moja akaona na kunwa chai ya dawa hiyo akauliza kama nakunwa nini maana dawa hiyo ni chungu saana sasa aliona ninavyo finya sura nikimeza dawa hiyo nikampa tu ukweli cha ajabu na yeye akaomba nikampa alikwenda kujaribu uko jamaa akafurahia dawa hiyo akataka tena ni mpe na nyingine tena
Nikasema sina nikamwambia kuwa nina rafiki yangu mwingine ambaye anayo dawa hiyo ila Nikasema kama utani tu kuwa unatowa kwa pesa jamaa akasema nipo tayari kutowa pesa ili nipate dawa hiyo
Nikamtuma kwa huyo rafiki yangu
Nikamwambia jamaa kuwa huyu mzungu anataka dawa hiyo atakupa pesa mara ya kwanza jamaa akawa amepaniki kwanini na ambia watu nikampa tu ukweli. jamaa akakubali kutowa dawa kwa dollars 300$ za Canada alitowa vijiko 4 tu kwa dollars 300$ kumbe yule mzungu akaenda kuambia wenzake na wale wazeke nao wakambia wenzao sasa wote ndo wamejaa kwa huyo rafiki yangu
Jamaa sasa amefanya hiyo kuwa fursa amepost nyingi kutoka Afrika wazungu wengi na watu weusi wameweka order dawa ikifika tu wanapewa
Jana nilikuwa kwake kuna ambao walikuwa wanaacha dollars 1000$ ili mzigo ukifika tu wanapewa
Mpaka mimi nashangaa tu jamaa kaanza kupata pesa kama utani tu
Kwa ufupi mimi sitafuti wateja au kutepeli watu maana naona kuna watu wameanza kusema mimi nitapeli
Hii ndo shida ya watanzania anaye wapa ukweli ndo uonekana muongo na anaye wadanganya ndo uonekana mkweli
Basi changamkeni kama ndugu zetu wakenya
Ila nataka tu kuwapa ukweli kuwa kuna watu wanajua dawa hizo za ukweli na wakitumia fursa zao vizuri kutafuta wateja nje ya nchi wanawaza kupata faida
Kama huyo rafiki yangu yeye utakuta uko anachukuwa dawa hiyo kwa bei raisi ikifika uku yeye anapata faida kubwa zaidi
Na sio dawa tu vitu vingi