Nakupenda

Nakupenda

Ina maana anataka kuku'do'
Ha ha ha ha.na unaichukuliaje hii? By the way Je sio kweli kwamba wakati tu wadogo wazazi wetu walikuwa wanatuambi Husninyo nakupenda mwanangu? Bado wanakuambia?
 
Ha ha ha ha.na unaichukuliaje hii? By the way Je sio kweli kwamba wakati tu wadogo wazazi wetu walikuwa wanatuambi Husninyo nakupenda mwanangu? Bado wanakuambia?

mimi wazazi wangu hawajawahi kuniambia ila malezi yao yalionesha kama yana upendo ndani yake. Mabazazi tu ndio wananiambia wananipenda ili wapate 'downstairs'. Lol
 
kama wewe ni Ke, ukiambiwa na Me hivyo...ujue ni moja ya njia ya kufikia lengo la kuku-do au kuendelea kuku-do. Kama ni Me ukiambiwa na Ke, mara nyingi ni dalili ya insecurity, immaturity au kukupiga famba...sijawahi kufurahia kuambiwa ambiwa nakupenda. Pengine kuliko kusema sema nakuonekana 'swagga' zimekuisha ni bora ufanye vitendo vinayoonyesha upendo bila hata kulisema hilo neno milele.
 
mimi wazazi wangu hawajawahi kuniambia ila malezi yao yalionesha kama yana upendo ndani yake. Mabazazi tu ndio wananiambia wananipenda ili wapate 'downstairs'. Lol

We mtoto wewe....mswalie mtume....
 
Hiyo inauhusiano na mbunye100%

"To know the enemy is half the victory"
 
Nakukunda - Kichaga
Nakukundya - Kipare
Ndagukunda - Kinyarwanda/Kirundi
Ngughanile - Kinyakyusa
Wo ai ni - Kichina
I love you - Kiingereza
Te Amo - Kihispaniola

ninkugonza- kihaya
Ich liebe dich- kijerumani
 
Heeh! Mbona mjini kumejaa wehu aisee. Jitu linaweza kukuona tu likaanza kukuambia 'dada nakutamani sana'. Tunavumilia mengi ndo maana mwenza wako asipokuthamini unakasirika double double.
This is so huge my dear.lakini mtu anaweza kukuambia anakutamani? Achana na yale mambo ya priced business.
 
mimi wazazi wangu hawajawahi kuniambia ila malezi yao yalionesha kama yana upendo ndani yake. Mabazazi tu ndio wananiambia wananipenda ili wapate 'downstairs'. Lol
Futa kauli yako Husninyo,yaani bishanga ni bazazi?
 
Last edited by a moderator:
Hivi hata hili lknahitaji great thinkers? Nakupenda si neno la kutohoa kila moja alijua
Tangu zama mama hajawahi kukuambia anakupenda...? Hujawahi sikia anamwambia mtoto katika familia yenu? Huo ni upendo wa mama na mtoto
Dada ako na wewe hampendani? Huo ni upendo wa dada na kaka kujihisi upungufu unapomkosa dada ako kupungukiwa
Upendo wa kiutu uzima kuelekea mapenzin unyumba mume mke mwanaume mwananke kuhisi majukumu na upungufu kwa huyo wa jinsia nyingine na uhitaji wa kuishi nae kujenga familia pamoja
Upendo wa rafiki awe wa kike au wa kiume msichan anampenda msichana mwezie NB si kimapenzi bali anamthamini na kumjali vile vile mvulana kwani wewe huwapendi washkaji? Mwisho kuna upendo wa kristo upendo wa kiroho kwamba unafanya kitu kwa mtu hata kama ni adui maana kristo Yesu nae alitupenda vivyo kwa kiingerezq inasound poa FOR GOD'S SAKE
 
now now? kwa nini haumpendi? na kwa nini umdanganye, kakulazimisha umuambie unampenda?
ilibidi nifanye hivyo mkuu ili nipate kile nilichokuwa nakihitaji by that time, ila nilikuwa nipo na binti mmoja kwa muda ule kweli na siunawajua hawa dada zetu wanavyopenda kuambiwa wanapendwa jamani?????????????
 
Back
Top Bottom