NAKUPENDA, USINIEKE FRIENDZONE

NAKUPENDA, USINIEKE FRIENDZONE

Ndiyo unampenda na yeye hakupendi kimapenzi. Kwanini usikubaliane na hali na urafiki wenu ukaendelea.?


Wanawake acheni kujifanya hamnazo, ingekuwa ww ungeweza vumilia kuendeleza urafiki tu na mwanaume unaempenda, ilhali huyo mwanaume hakupendi..

Sana sana wengi wenu mkionesha ishara za kupenda hlf mkihisi kukataliwa kimapenzi na mwanaume, mnaanza kumchukia huyo mwanaume Baby Doll
 
Wanawake acheni kujifanya hamnazo, ingekuwa ww ungeweza vumilia kuendeleza urafiki tu na mwanaume unaempenda, ilhali huyo mwanaume hakupendi..

Sana sana wengi wenu mkionesha ishara za kupenda hlf mkihisi kukataliwa kimapenzi na mwanaume, mnaanza kumchukia huyo mwanaume Baby Doll
Mwanaume unajiita cute Cindy daah
 
Wanawake acheni kujifanya hamnazo, ingekuwa ww ungeweza vumilia kuendeleza urafiki tu na mwanaume unaempenda, ilhali huyo mwanaume hakupendi..

Sana sana wengi wenu mkionesha ishara za kupenda hlf mkihisi kukataliwa kimapenzi na mwanaume, mnaanza kumchukia huyo mwanaume Baby Doll
Mkuu wewe ni mwanaume? Sorry lakin
 
Kuna demu ananishobokea sana, ila kila nikimgusia maswala ya mapenzi anabadilika kama chui..
Yani tukikaa week hatujaonana, basi siku akiniona anachangamka anani-hug na mabusu mengi mengi ... Yani hapa ndio nina data kabisa.. Tatizo ni moja tuu "hataki maswala ya mapenzi"
Kila siku kuniletea vizawadi na kunishukuru et hajawai kutana na rafiki wa kweli kama mimi.
Ni mwaka wa pili sasa naingiza gia lakini haingii kwenye line, mbaya zaidi kuna siku kanitongozeshea rafiki yake makusudi kabisa.. Anasema hapendi kuniona mpweke.... ila mimi simtaki rafiki yake namtaka yeye
Kiukweli naona ni bora kukatisha urafiki kabisa ili nisimuone ....
Piga chini hafai anakuletea giza tu hapo utakosa madem wengine wakidhani huyo ndio demu wako
 
Wewe ni Me mkuu?
Wanawake acheni kujifanya hamnazo, ingekuwa ww ungeweza vumilia kuendeleza urafiki tu na mwanaume unaempenda, ilhali huyo mwanaume hakupendi..

Sana sana wengi wenu mkionesha ishara za kupenda hlf mkihisi kukataliwa kimapenzi na mwanaume, mnaanza kumchukia huyo mwanaume Baby Doll
 
Hakuna mwanaume anatafuta rafiki wa kike ukiona anajisogeza kwako ujue anahitaji kuwa na we kimapenzi na sio urafiki

Mkuu usiwe unapenda kutumia Hakuna imagine Duniani kuna watu Approximately 7 billion sasa hii hakuna maana yake wewe una informations za wanaume wote kati ya hao watu 7 billion
 
Hapa tuu wanaume ndiyo huwa wananishangaza.
Kwani hamna uwezekano wa kuwa rafiki na mwanamke bila kumtongoza?
Na akikataa kwanini u rafiki usiendelee?
The truth is hakuna urafiki wa kweli katu ya mwanaume na mwanamke. Unless huyo mwanaume ana mtu wake lakin kama ni single hilo halitafanikiwa
 
Muite ghetto akifiki mtengenezee timeing umtie dole kwenye k*ma iyo tunaita (kupima oil) hapo lazima alegee kisha fuata taratibu za kupiga show mujarabu
 
Back
Top Bottom