PANTHERA LEO
JF-Expert Member
- Jan 25, 2019
- 2,307
- 3,444
- Thread starter
- #41
Ndio ninae.. Dini inaruhusu dada khantweWewe si una demu....!
ila huyu hajui
Ndio ninae.. Dini inaruhusu dada khantweWewe si una demu....!
Ni kweli lakini huyu kazidi bhn afu ukitegemea me ni chalii ya Moshi sijazoea mazoea yaliyipitiliza na mwanamkeKugegedana ndiyo kitu kinachotambulisha kwamba hawa ni wapenzi. Hivyo vingine ni urafiki tuu na ni kawaida mtu kumfanyia rafiki yake.
SawaNinao, lakini haifikii hatua ya unakuja kwangu kila wiki, tena wakati mwingine usiku.
Urafiki wangu na mwanamke una mipaka.
Wala hashtuki.. Tena anamchangamkia na hapohapo wanaanza kuitana wifiTafuta demu haraka sana halafu pita nae mbele yake huku umemshika kiuno tuone atafanyaje
Ngoja niongee nae kwa undaniAna gonjwa hatarishi huyo kwahyo hataki akuangamize wala kuangamiza wengine ndo maana anafanya hayo.....
Mbona mnapenda kutumia dini kuhalalisha ujinga? Kama unatembea kwenye dini si umwambie kwamba mimi nina girlfriend ila nakutaka na wewe wa pili, watatu au wa nne? Pumba.vuNdio ninae.. Dini inaruhusu dada khantwe
ila huyu hajui

Miaka miwili unatembelea muwa kama mkongojo ni ufala.
Kashakuona mwanamke mwenzake.
Kiukweli mimi kama mwanaume mwenye mipango ya kuoa hapo baadae, siwezi kutulia na demu mmoja kwa sasa... Lazima niangalie yupi atanifaa, hivyo najaribu bahati yangu kila napoona huwenda patanifaaMbona mnapenda kutumia dini kuhalalisha ujinga? Kama unatembea kwenye dini si umwambie kwamba mimi nina girlfriend ila nakutaka na wewe wa pili, watatu au wa nne? Pumba.vu
Duuuh haya matusi sasa![]()
Sawa
Wewe ukisikia msichana wako anaongea kauli kama hii utafurahi?Kiukweli mimi kama mwanaume mwenye mipango ya kuoa hapo baadae, siwezi kutulia na demu mmoja kwa sasa... Lazima niangalie yupi atanifaa, hivyo najaribu bahati yangu kila napoona huwenda patanifaa
Hapana mimi sitaki rafiki jinsia pinzani.Kwa hiyo umekubali kuwa rafiki yangu?
Hapana mimi sitaki rafiki jinsia pinzani.
Weka na picha mkuuKuna demu ananishobokea sana, ila kila nikimgusia maswala ya mapenzi anabadilika kama chui..
Yani tukikaa week hatujaonana, basi siku akiniona anachangamka anani-hug na mabusu mengi mengi ... Yani hapa ndio nina data kabisa.. Tatizo ni moja tuu "hataki maswala ya mapenzi"
Kila siku kuniletea vizawadi na kunishukuru et hajawai kutana na rafiki wa kweli kama mimi.
Ni mwaka wa pili sasa naingiza gia lakini haingii kwenye line, mbaya zaidi kuna siku kanitongozeshea rafiki yake makusudi kabisa.. Anasema hapendi kuniona mpweke.... ila mimi simtaki rafiki yake namtaka yeye
Kiukweli naona ni bora kukatisha urafiki kabisa ili nisimuone ....
Hapana .Vigezo na masharti vitazingatiwa. Usiogope.
My friend wangu unayasemaje haya??Uwezekano haupo my friend
DuhWewe ndio fala.
Binafsi ninaamini hakuna urafiki wa aina hiyo duniani.Hawa viumbe ni wa ajabu.
Nina mtu alikuwa rafiki yangu tuu, ghafla akanitongoza nikakataa.
Basi kaninunia hamna hata salamu.
Sijui wana shida gani kazi kuwaza ngono tuu.