NAKUPENDA, USINIEKE FRIENDZONE

NAKUPENDA, USINIEKE FRIENDZONE

Tumia huohuo urafiki umle, yaani unachofanya naww unakubali kuwa rafiki kabisa then unafanya kumzoesha geto lako awe huru kuja kwako nakuondoka mara kadhaa bila ww kugusia suala la mapenzi ipo siku itajitokeza golden chance utamla tu then ndo imeisha hiyo automatically mapenzi yatakuja tu, wanawake wa hivyo hawatongozwi kwa maneno ni anajikuta tu kwenye ligi
 
Hapa tuu wanaume ndiyo huwa wananishangaza.
Kwani hamna uwezekano wa kuwa rafiki na mwanamke bila kumtongoza?
Na akikataa kwanini u rafiki usiendelee?
Japo akikataa kuvunja urafiki mi naona pia ni ujinga na hapo wanaume tunafeli ila kuwa rafiki na mwanamke bila kumtongoza kama nina hisia naye za kimapenzi haiwezekana kabisa maana tongoza ya mwanamke ndo ipo kwa vitendo hivyohivyo kama anavyofanya akiwa rafiki huenda mtoto wa watu amekuelewa we ukadhani urafiki mwisho siku anakuona hanithi bora nimpe makavu akikataa ndo hapo urafiki unaendelea nakuwa nimemuelewa na i have try harder to know for real she meant it
 
Tafuta demu haraka sana halafu pita nae mbele yake huku umemshika kiuno tuone atafanyaje
Kuna demu ananishobokea sana, ila kila nikimgusia maswala ya mapenzi anabadilika kama chui..

Yani tukikaa week hatujaonana, basi siku akiniona anachangamka anani-hug na mabusu mengi mengi ... Yani hapa ndio nina data kabisa.. Tatizo ni moja tuu "hataki maswala ya mapenzi"

Kila siku kuniletea vizawadi na kunishukuru et hajawai kutana na rafiki wa kweli kama mimi.

Ni mwaka wa pili sasa naingiza gia lakini haingii kwenye line, mbaya zaidi kuna siku kanitongozeshea rafiki yake makusudi kabisa.. Anasema hapendi kuniona mpweke.... ila mimi simtaki rafiki yake namtaka yeye

Kiukweli naona ni bora kukatisha urafiki kabisa ili nisimuone ....
 
Hawa viumbe ni wa ajabu.
Nina mtu alikuwa rafiki yangu tuu, ghafla akanitongoza nikakataa.
Basi kaninunia hamna hata salamu.
Sijui wana shida gani kazi kuwaza ngono tuu.
Hakuna mwanaume anatafuta rafiki wa kike ukiona anajisogeza kwako ujue anahitaji kuwa na we kimapenzi na sio urafiki
 
Kuna demu ananishobokea sana, ila kila nikimgusia maswala ya mapenzi anabadilika kama chui..

Yani tukikaa week hatujaonana, basi siku akiniona anachangamka anani-hug na mabusu mengi mengi ... Yani hapa ndio nina data kabisa.. Tatizo ni moja tuu "hataki maswala ya mapenzi"

Kila siku kuniletea vizawadi na kunishukuru et hajawai kutana na rafiki wa kweli kama mimi.

Ni mwaka wa pili sasa naingiza gia lakini haingii kwenye line, mbaya zaidi kuna siku kanitongozeshea rafiki yake makusudi kabisa.. Anasema hapendi kuniona mpweke.... ila mimi simtaki rafiki yake namtaka yeye

Kiukweli naona ni bora kukatisha urafiki kabisa ili nisimuone ....
Kuna haja ya kufungua darasa juu ya hizi mambo.

Kuna kitu kinaitwa "kata funua" huyo kutongoza hawezi kuelewa mazoea yashakiwa mengi na maneno yoote mmeshaongea...

La msingi ni mvute ghetto kirafiki.. Anza gently touch.. Ukiona anakaza.. Kata vibao chana chupi mpelekee moto.

Next utaona atakavyofurah.

Achaga ufala ufala mtoto wa kiume... Ashaelekea kibra uyo we unahangaika kunoa kisu.... Nyonga tu.

Mambo za hvyo mi zishanikuta saaaana na nkazimaliza kwa mtindo uo. Alafu simple.. Clear and right.. Hakuna wasi kabisa
 
Japo akikataa kuvunja urafiki mi naona pia ni ujinga na hapo wanaume tunafeli ila kuwa rafiki na mwanamke bila kumtongoza kama nina hisia naye za kimapenzi haiwezekana kabisa maana tongoza ya mwanamke ndo ipo kwa vitendo hivyohivyo kama anavyofanya akiwa rafiki huenda mtoto wa watu amekuelewa we ukadhani urafiki mwisho siku anakuona hanithi bora nimpe makavu akikataa ndo hapo urafiki unaendelea nakuwa nimemuelewa na i have try harder to know for real she meant it
Hii nzuri maana na sisi wakati mwingine tunapenda halafu tunashindwa kusema.
 
Wewe ndio fala.
Kuna haja ya kufungua darasa juu ya hizi mambo.

Kuna kitu kinaitwa "kata funua" huyo kutongoza hawezi kuelewa mazoea yashakiwa mengi na maneno yoote mmeshaongea...

La msingi ni mvute ghetto kirafiki.. Anza gently touch.. Ukiona anakaza.. Kata vibao chana chupi mpelekee moto.

Next utaona atakavyofurah.

Achaga ufala ufala mtoto wa kiume... Ashaelekea kibra uyo we unahangaika kunoa kisu.... Nyonga tu.

Mambo za hvyo mi zishanikuta saaaana na nkazimaliza kwa mtindo uo. Alafu simple.. Clear and right.. Hakuna wasi kabisa
 
Basi sawa endeleeeni kumtia ujinga... Siku akija kuambiwa ulipewa chance ukawa unahangaika na mabusu..

Ndio atajua nani fala baina yetu.

Ila uo ujinga fanyeni kwake tu... Usije kwangu ukaleta izo mambo... Chap tu nakunyoosha...

Sijawah kufundishwa kama kuna urafiki wa mwanmke na mwanaume wa aina iyo
Wewe ndio fala.
 
Back
Top Bottom