nameless girl
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 4,195
- 2,664
anamiliki nini?
Last edited by a moderator:
Haya mi naingia kwenye huduma za ndoa....:redface:Bora umecheka..thanks for the wishes ila bado nipo nipo
anamiliki nini?
hahahaaaaaa sasa mimi ni body drier?
^^
Itafahamika tu, ngoja Bwana Magereza amalize kazi yake!
^^
aaag! Mkuu kila mwana jf anajua kuwa ww ndiye mwenye mali halali hata alipokuwa anaumwa ww ndiye ulikuwa pemben yake ukimfariji sasa mgiriki wa wapi tena?
Haya mi naingia kwenye huduma za ndoa....:redface:
kunani tena jamaniSi salama hata kidogo....
ayaa! Kwan huijui kaz yako kwa jamaa kwa kipindi kama hiki?
mkuu usimsukumizie mfungwa huru wakat ww ndiye mwenye
aaag! Mkuu kila mwana jf anajua kuwa ww ndiye mwenye mali halali hata alipokuwa anaumwa ww ndiye ulikuwa pemben yake ukimfariji sasa mgiriki wa wapi tena?
yeye ndie mwenye nini?
na ww mbona unahoji sana?? Yeye ni mfalme na ww ni malkia
^^
Nina jalada lake la SayansiKimu.. Ngoja atoke, ufariji ni mbwembwe tu
^^
hahahaaaa wa nchi gani?
nchii ilee ya paradise ambayo kuna ule mti wa tunda la katkat liliomponza Adam pamoja na hawa
Bora umecheka..thanks for the wishes ila bado nipo nipo